Hii Tanzania haiishi vituko
Inasemekana diamond alishaanda suti ya gauni kwa ajili ya kuvaa akiwa hapo udsm akikabidhiwa udokta wake.
Wapumbavu ni wale wanaoamini kuwa Diamond anaweza kupewa PHD ya heshima toka UDSM,kwa utumbo upi alioufanya? huyo Pr wake mbona anakingereza hovyo sana?
kwani jk kafanya lipi la maana mpaka akapewa