Chikaka Sumuni
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,337
- 773
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Nape uko sahihi ongezea na hii.Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Kina Nape,
Wanadhania ushindi wa 2/3 upande wa "bara" kura ya maoni, hivyo kufanya bao 1-0 ndio ushindi wa msimao wao. Wanadhania kura ya maoni itaangalia wingi wa kura (grand total) kama uchaguzi wa rais wa Muungano. Hawajui kwamba ushindi kamili utahitaji pia washinde 1-0 upande wa zanzibar yani 2/3 pia kuungwa mkono upande ule. Hilo halitatokea, upande wa zanzibar mtapigwa 1-0 serikali tatu hivyo matokeo kuwa 1-1. Na hawajui madhara ya matokeo haya ni nini kwa CCM na muungano kwa ujumla. Mbaya zaidi, hawajui matokeo yatakuwa haya haya hata kama:
1. Polisi watafanikiwa kuzuia mikutano yote ya UKAWA mpaka siku ya kura ya maoni.
2. Hata kama chadema itakufa kesho na kupotea kabisa katika siasa za Tanzania.
Hoja ya Tanganyika ilianzia humo humo CCM, tena ikiletwa na makamu mwenyekiti wa CCM Taifa (Aboud Jumbe) 1983. Hapakuwa na chadema wala ukawa. Na nchi ilikuwa chini ya chama kimoja (CCM).
Hoja ya Tanganyika ikaendelea na tume mbalimbali zilizoteuliwa na marais. Hapakuwa na chadema wala ukawa.
G55 - kundi la wabunge, wote walikuwa ni CCM. Na hapakuwa na ukawa wala vyama vingine vya siasa nchini. Rais wa Jamhuri ambae pia ni Mwenyekiti wa CCM wakati ule (Mwinyi), makamu mwenyekiti na waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais (Malecela), katibu mkuu ccm taifa (Kolimba), wote waliridhia serikali tatu. Malecela kama kiongozi wa serikali bungeni, bunge 100 pct CCM, akafanikisha hoja ya Tanganyika ipite. Waziri wa Sheria na Katiba wakati ule (Samuel sitta), akaanza mchakato wa kura ya maoni kabla ya Nyerere kuingilia.
Mwalimu angekuwa hai leo, asingeizuia Tanganyika kwani aliamini katika ccm imara, ccm yenye ushawishi mkubwa, ccm inayolinda katiba ya nchi. Leo znz wamevunja katiba ya nchi, leo ccm sio imara tena na wala haina ushawishi mkubwa tena, kwani upinzani umeshamiri. Chini ya mazingira haya, katiba ya nchi haiwezi tena kuwa ni sera ya chama cha siasa.
Mwalimu aliwahi sema kwamba "yapo ya maana na yapo ya kijinga aliyofanya katika uongozi wake". Hakika, hili la serikali mbili lilikuwa ni la kijinga (kwa kuazima maneno yake). Na akaenda mbali na kusema kwamba anashangaa viongozi waliomfuata, badala ya kuachana na ya kijinga na kuendeleza ya maana, wao wanaacha ya maana na kuendeleza ya kijinga.
Nape Nnauye, acheni kuendeleza yale ya kijinga kama serikali mbili nyakati hizi. Endelezeni ya maana - boresheni azimio la arusha liendane na mahitaji ya leo, sio kuboresha serikali mbili. Hilo ni la kijinga kabisa.
Kwa maelezo haya, nadhani ni dhahiri kwa nape kwamba kwa kushambulia UKAWA, Chadema, "he's barking at the wrong tree".
Tanzania Kwanza, Tanganyika Kabla.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
- I hope huu muungano utadumu maana tunayoyasikia huku mtaani watabaki Chadema peke yao,!!
Le Mutuz System
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
- Katiba inakuja bila Ukawa Chadema hwataamini kinachokuja wamezoea kuwadanganya watu sasa ngoja na wao wadanganywe ndio watajifunza, CCM tunajua siku nyingi sana toka walipoamua kwamba watajitoa kwenye mchakato wala sio siri kama wanavyofikiri, ila katiba itafanyiwa marekebisho bila wao hili wala halina mjadala, ila wangekuwa wastaarabu kidogo wakarudisha posho walizochukua za mpaka Tarehe 30/4/2014
Le Mutuz System
Huyu Ndiye msemaji wa CCM na propaganda na kipumbavu kama chama chakeNiliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa kwa UKAWA. Sasa wamebaki Chadema,nccr na cuf tena SI WOTE!
Kimbieni msiba huu mkubwa. Cuf na nccr mnaingizwa mkenge na Chadema ambayo inaishi kwa matumaini kwasasa! Fumbueni macho!
Hongera Olouch!
Nape uko sahihi ongezea na hii.
Ukawa walia na mwigulu nchemba,waanza kuerejea bunge la katiba
Viongozi na wafuasi wa UKAWA mamlalamikia Mwigulu Nchemba kwa kufuta posho zao.
Siku chache baada ya Naibu Waziri wa fedha kufuta malipo ya wabunge waliosusia vikao Dodoma, kundi hilo limemrushia maneno makali Mwigulu kwa Kitendo chake cha kuwafutia malipo yao. Paparazi wetu aliyekwepo kwenye hafla fupi ya kuzaliwa kwa mtoto wa Mbowe aliyezaa na mbunge wake wa Viti Maalumu Joyce Mukya walisikika wakisema "huyu jamaa dikteta sana sijui Kikwete alimtoa wapi,Waziri gani anaingilia mambo ya Fedha za Bunge? Anawaza kimasikini kila wakati, tazama ilikuwa tulipwe laki 8 kwa siku bunge lote la katiba, pia wenzake walipanga mwishoni watulipe milioni 5 kila mbunge kama gratuity yeye alipoteuliwa tu kikao cha kwanza akimwakilisha waziri akaifuta ile milioni 5 na akakata posho tokea laki 8 hadi upuzi huu wa kulipana laki 3 kama wanafunzi.
Ametufanya tuishi maisha ya shida. Pia viongozi wenzake walishakubali kuongeza walau iwe laki 7 akakataa tena akawatolea lugha ya kidikteta mpaka wabunge wenzake wa ccm kuwa wanaona laki 3 ni ndogo waondoke" Mwigulu alikemea wabunge waliokuwa wakidai nyongeza ya posho tokea laki tatu hadi saba na kusema Wajumbe wa Bunge la Katiba hawajakodishwa tokea kenya au uganda au ulaya kuja kututungia katiba,Wanatunga Katiba ya Nchi yaoi wajibu wao. Aliendelea Kusisitiza katika nukuu zake kwa Vyombo vya Habari kuwa " Mnatimiza wajibu wenu. Ninyi sio consultants wa kukodiwa. Mko sawa na mfugaji anayelisha mifugo yake, sawa na mkulima anatetunza shamba lake au muuza duka anayeuza duka lake.
Anayeona hapa hapati hela anapoteza muda kwa heshima zote afungashe mizigo yake aondoke kesho"alisikika Mwigulu. Wiki iliyopita wajumbe wa CHADEMA NA CUF kabla ya Kususia Bunge walisaini fedha ya tar 16 hadi 30 karibu nusu mwezi huku tar 17 wakajitoa kwenye bunge hilo wakijua bunge limeshapeleka hizo hela benki,Jambo ambalo limetajipambanua kuwa ni Ukosefu wa Uzalendo na jambo la Kupanga kunufaika na Fedha za Umma kwa njia ya Wizi. Mapema baada ya Wanaojiita UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba,Mh:Mwigulu ambaye ni Naibu Waziri wa Fedha aliagiza Wajumbe wa Bunge kukusanya saini upya na kufutilia mbali malipo ya awali waliopeleka benk. Harakaharaka mwigulu akaagiza benki kurudisha cheki zote bunge zikaandikwe upya.
Mwigulu Nchemba alikwenda mbali zaidi kwa Kusema,Kupitia Mwenyekiti wa Bunge,Rais atengue Uteuzi wa Wajumbe waliosusia Bunge la Katiba,Pia kwa Wale Watumishi wa Serikali waliokuwa Wajumbe wa Bunge la Katiba na hatimaye Kujitoa na UKAWA Waangaliwe Utumishi wao na Ikiwezekana Serikali itoe adhabu stahiki kwa Walengwa mbali na kusimamishwa kazi kwa Muda usio Julikana. Kufuatia hatua hiyo kwa nyakati tofauti Wajumbe wa UKAWA wamemlaumu Mwigulu kuwa amesababisha pasaka iwe mbaya kwao. Huyu jamaa utadhani tunalipwa hela zake au hela za CCM. Kwani zake? Kwani za CCM? MJINGA KWELI. HIVI KWANINI ASIFE HUYU? ALISIKIKA MBUNGE MMOJA WA CHADEMA Mwenye tabia ya maahasira huku akiungwa mkono na wenzake.
Baadhi yao waliwalaumu viongozi wao kwa kusema hakukuwa na sababu ya msingi ya kususa Bunge la Katiba kwa sababu Huruma ya Wananchi waliyoitegemea imekuwa kinyume chake. "Hapa kiukweli tumejichora. Kumbukeni mwigulu alisema tuna tafuta kujitoa na tunafanya njama ya kuharibu mchakato". Wakati huohuo ikumbukwe Mh:Mnyika baada ya Kushitukiwa kuwa walikuwa na lengo la Kuvuruga Mchakato wa Bunge la Katiba akakanusha akasema Watakuwa wa mwisho kususa bunge au kujitoa au kuvuruga mchakato. Sasa yanefika wapi? Sijui viongozi wao wamesahau? Inakera kweli.
Kwa taarifa za awali hadi sasa Wajumbe 15 wa wanaotoka kundi la 201 wamerejea Bungeni hii leo na Wapo Wajumbe wa CUF klutoka Zanzibar wanajipanga kukutana na Viongozi wao kuomba kurejea kwenye Bunge hilo.
Unlike
You like this.