Hakuna jambo linalo katisha Tamaa na kutia simanzi kama dharau iliyonayo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama KUTOTHAMINI MADAI YA WALIMU NA KUENDELEA KUONGEZA MADENI YASIYO NA MSINGI
HABARI ZA NDANI NA UKWELI NI KWAMBA....
``FEDHA ZA LIKIZO YA MWEZI JUNI 2014 ZIMEPELEKWA KWENYE MRADI WA MAJI``
Fedha zote hazikuonekana mfano posho za wajumbe wa bunge la katiba n.k
JE? TUTAFIKA?
HABARI ZA NDANI NA UKWELI NI KWAMBA....
``FEDHA ZA LIKIZO YA MWEZI JUNI 2014 ZIMEPELEKWA KWENYE MRADI WA MAJI``
Fedha zote hazikuonekana mfano posho za wajumbe wa bunge la katiba n.k
JE? TUTAFIKA?