Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!


Wema ni sikio la kufa lile.
 
huyo wema ni fungu la kukosa..... Mambo anayoyafanya kama hana wazazi..............

Bure kabisa....
 
Yaani kale kashimo kangekuwa kana expire kakitumika sana sipati picha ya huyu dada.
 
hebu naomba link ya hii blog....maana mhh we stori umeielezea vingine kuliko mke wa zamani wa marc anthony wa bongo
 
huyo mke wa mtu kakosea. kafanya hasira anaishia jela na wakati angeweza kumfanyizia wema wala asingekaa akasahau! labda na story zake zingepungua mtaani
 
kwani wema ndio wa kwanza kutembea na mume wa mtu....jalini maisha yenu achaneni na wema!!! Eti anahitaji maombi...wewe umejiombea, au unajiona umekamilika??kidole kimoja unamnyooshea wema vitatu vimekuelekea wewe.....unajiona mwenye haki eeehh shauri yako
 
papaaa mukuru kuru mutoto wa totozi raisi wa kinondoni......
Pasco nakuona hapo chini...please tupe wasifu wa huyo padejee kama unavyomuona anamiliki vogue...lazima mtakuwa mmewahikukutana sehemu za bungeni na new africa..

noooo...........anaitwa adolph kasimba gweje
 
Na mimi namtafuta Wema nimle. Yaani machiz kibao wakoingiza nyavu afu mimi bado. Haki ya nani lazima nimle.! Sikubali azeeke na utamu wake kabla sijampitia. Jaman mwenye contacts zake anishushie hapa.


Dogo asikudanganye mtu. Yule hana utamu wowote, believe me! Labda zamani. Taabu ni kwamba kametumika mno!
 
kwa taarifa yyako ombea pale unapohitajikankuombea, me naombewa na najiombea na huyo wema pia atakiwa ombewa, kama hutaki acha, ukiona umuhimu muombee tu, kwan bei gan, usipanick mamaa
 
Angekuwa na sura na reception mbaya yote yasingempata. Cleopatra of this era.
 
hapo ndio ujue kuwa kiasi kikubwa cha pesa za tz ziko kwenye mikono ya watu wasiostahili kuwa nazo!

Wana mazingaombwe...na pesa za magumashi...wenye akili zao wanabaki kutuma post za kulalamika tu...wasiosoma ndo wanatafuta pesa kwa nguvu...tutegemee nini sasa????
 
Ma ma ma magubegube...usiombe ukutane na mgubegube...wanamambo magubegube...
 

Au we ndo wema!!? Unatetea ujinga na pumba namna hiyo? Hujatulia wewe. Una pepo!
 
wanaotembea na waume za watu wanatembea nao kwa akili, sio kipuuzi kama alivyofanya wema,
afterall sio sifa........


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…