Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

Na mimi namtafuta Wema nimle. Yaani machiz kibao wakoingiza nyavu afu mimi bado. Haki ya nani lazima nimle.! Sikubali azeeke na utamu wake kabla sijampitia. Jaman mwenye contacts zake anishushie hapa.[/QUOTtumuombee mungu ambadilishe unadhani angekuwa ni mwanao au dada yako ungesema haya?
 
Na mimi namtafuta Wema nimle. Yaani machiz kibao wakoingiza nyavu afu mimi bado. Haki ya nani lazima nimle.! Sikubali azeeke na utamu wake kabla sijampitia. Jaman mwenye contacts zake anishushie hapa.
Angekuwa mwanao au dada yako ungesema hivi kweli?
 
Wema kama ni mchezaji ameshapiga jaramba dk 75 inatakiwa achunge sana dakika zilizosalia la sivyo ataijutia siku mama yake alipomzaa
 
Au we ndo wema!!? Unatetea ujinga na pumba namna hiyo? Hujatulia wewe. Una pepo!

Pepo unalo wewe, niwe Wema nisiwe Wema haikuhusu!! watu kibao mjini wanatembea na waume za watu.....ni jambo baya ndiyo lakin mleta thread alivyoshadadadia utafikiri huyu Wema amembaka mbuzi...teh jaribuni kuangalia nyendo zenu kabla hamjavalia vibwebwe ya wenzenu! Hata uengenyaji nalo ni pepo kwa taarifa yako
 
Ndugu yangu Kigogo temea mate chini, hakuna mzazi anaependa mwanae awe na tabia mbaya! Wazazi wanajitahidi sana kuwaweka watoto ktk maadili mema but ndo hivyo company na mengineyo ndo vinawaharibu watoto. Na isitoshe yawezekana anayosemwa si ya kweli au hayako katika extent kubwa kihivyo but sababu anafahamika sn ndo maana inaonekana kama ishu kubwa. Am sure kuna wanaofanya machafu mnooooo kumzidi yeye na wala hayaonekani simply becoz hawafahamiki............ Spare her please.
 
kicheche full bangi ndembendembe,whos next anyway,dah mna kazi vijana kuvamia hili gube gube wakati kuna new generation 16-19yrs kitaa unapata kitu natural
 
pedeshee ndama toto ya ng'ombe,wema ni fungu ls kukosa tu angalia dada umri unakimbia utashindwa kuolewa bure
 
Wema malaya sana,huyo ni cha wotee kama una laki 1 unapga mzgo kiurainii.
 
Wanao jiita mapedeshee bongo wana mtindio wa ubongo take it from me
 
leo katika kipindi cha leo tena cha clouds redio kinachorushwa kila jtatu hadi ijumaa saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana nimesikia kasheshe iliyomkuta wema ya kugongewa gari lake. Inasemekana kuwa alienda kushoot film katika pub fulani ya pededjee anaesemekana kutembea nae sasaivi. Mkewe akapata habari akaenda pale pub na range rover (vogue) na kugongagonga gari analotumia wema wakati wema akiwa ndo anatoka pale na wasanii wenzie baada ya zoezi la kushoot kushindikana kutokana na kuwepo na watu wengi.mke wa pededjee huyo amedai ameligonga hilo gari sababu ni gari lao la familia kwahiyo haoni kwann wema alitumie na kwamba alienda pale kushoot kwa ruhusa ya nani wakati yeye mwenye mali hana taarifa za ujio wake (wema)?! Isitoshe mke huyo kalalamika kuwa wema anajigamba magazetini kuwa anatembea na mmewe ana alimpelekwa dubai na kufanyiwa shopping kali ya mamilioni ya pesa. Pia inasemekana wema huwa anaenda pale pub na wasanii wenzie wanajirusha, wanakula na kunywa then wema anasaini bill ya zaidi ya millioni na kuondoka bila kulipa.imefanyika kasheshe kubwa na ishu nzima iko oysterbay polisi ambapo yule mke aliwekwa ndani. Kwa story kamili kesho saa 5.20 asubuhi tune radio clouds kutakuwa na muendelezo wa hekaheka hiyo ambapo wema atafunguka kuelezea kilichomtokea. Pole sana wema sepetu.
unampa pole malaya kwa kutembea na mme wa mtu! Laana hiyo ya wema kulala kwenye jeneza ili awe miss tz!
 
Blog za kibongo ndio zinawadanganya hawa watu...akiona ameandikwa kwa blog basi anafikiri hao wanaomwandika ni marafiki kumbe ndio wanaomchoma mwanzo mwisho...Mwache avune alichopanda
 
Back
Top Bottom