Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

namuonea huruma kama binti....harufu ya mchanga wa kaburi inanukia!!!
 
Huyu anatakiwa aje tu-act naye move la ng*n&....kwa sasa
 
Pepo unalo wewe, niwe Wema nisiwe Wema haikuhusu!! watu kibao mjini wanatembea na waume za watu.....ni jambo baya ndiyo lakin mleta thread alivyoshadadadia utafikiri huyu Wema amembaka mbuzi...teh jaribuni kuangalia nyendo zenu kabla hamjavalia vibwebwe ya wenzenu! Hata uengenyaji nalo ni pepo kwa taarifa yako

Mie ni mume wa mtu ni-PM basi unipe namba zako ili nikutafute
 
Leo asubuhi kupitia HEKA HEKA ya LEO TENA CLOUDS FM, alisikika dada mmoja anaedai kuwa mdogo wa mke wa pedeshee mwenye uhusiano wa kimapenzi na Wema Sepetu, ambapo yeye ndio anadaiwa kumfanyia Wema Shopping pamoja na kumpa hilo gari jipya aina ya Harrier.
Mwanamke anasema kabla, alikua rafiki mkubwa wa Wema Sepetu na alipoanza kutoka na shemeji yake, alimuonya lakini Wema hakusikia, sasa hata hilo gari Wema analodai kununuliwa na familia kumbe sio kweli, ni la familia ya huyo pedeshee na huwa linatumika kwenye shughuli za kifamilia nyumbani kwake.
Mdogo huyu wa mke wa pedeshee amesema “ni muda mrefu nimegundua anatembea na mume wa dada yangu, ila mwanzo alikua hajui kama ni mume wa dada yangu, nikaja kumwambia akakubali, mpaka ikafikia sehemu akawa hanisalimii… wakati mwingine anaweka nyodo, eti anauliza “eti huyo dada yako ni mzuri kama mimi, kama angekua mzuri si angekua super staa?” sasa jamani hiyo ni akili? eti kaenda dubai kanunua pete ya uchumba anataka huyu mwanaume amvalishe, wakati mwingine Wema anakwenda kwenye pub ya dada yangu yeye na Sintah na wanaume, wanakunywa wanaandika bili mpaka milioni moja na nusu mpaka mbili shemeji ndio analipa, kwa nini asiheshimu hata kama anatembea na mume wa mtu ndo mpaka kwenda kwenye pub ya mke wa mtu?”
Amesema “wakati mwingine anamwambia shemeji yangu ampelekee watoto wake eti akae nao amewamis, hivi jamani hii inaingia akilini? anajua watoto wamepatikanaje hao, eti anataka kuendesha gari la kifahari kama analoendesha mke wa pedeshee….” Wema mwenyewe katumika dunia nzima, hamuingii dada yangu hata robo, amshukuru hata Mungu huyu mtu aliempangia nyumba, kapangiwa Mwananyamala msikitini alafu kijitonyama, namshangaa sana”

kwa mujibu wa Heka Heka ya leo na Gea Habib, mke wa pedeshee huyo amemvamia na kumfanyia fujo Wema Sepetu kutokana na anachokifanya, ambapo Wema alipotafutwa ameomba apigiwe baadae kidogo kwa sababu hayuko sawa kwa sasa.
Mke wa pedeshee huyo kwa kutumia gari lake aina ya Range Rover ameligonga mara tatu kwa hasira hilo gari alilopewa Wema baada ya kumkuta Wema kwenye baa yake (ya mke wa Pedeshee) akinywa pombe na marafiki zake ambapo alijitetea kwamba alikwenda kushoot movie.
 
A respectable women is the one who finds her own husband.
Wema, umevuna ulichopanda, hayo ndio maisha unayoyataka.
Umeshindwa kabisa kujenga maisha yako kama respectable woman.
Umeshindwa kabisa kuonyesha kwamba at one time ulikuwa Miss TAnzania.
Shame on us TAnzanians for having such a x-Miss Tanzania.
Na bado, hadi utayaona makubwa zaidi, endelea na waume za watu.
Unapenda ready made, wanawake wenzako ndio wamewafikisha hao unaowaparamia hapo walipo.
 
Huyu mtoto wa kike anatapatapa na wanaume sio design yake mpaka inashushia hadhi yake. Yaani bure kabisa hata kama ni mzuri lakini huwa hachukui maamuzi ya kuaminika kwenye mapenzi.

Ataishia kuwa papa wa mji, kila mtu kumnusa

So far Wema Sepetu hana hadhi yoyote.
She is a disaster, a decent man would not want to go out with.
 
Akili za huyu dada ni mavi...hivi kwanini hawa wanawake wakibongo wakiwa na umaarufu mavi tu wanakuwa na fujo hivi?
 
Mie ni mume wa mtu ni-PM basi unipe namba zako ili nikutafute

Unataka yamkute yaliyomkuta WEMA??!! anyway, Gia uliyoingia nayo hawezi kuchomoka - kina dada wengi siku hizi wanataka waume za watu! Hawataki usumbufu wa ma-sharo baro:lol:
 
Jamani jamani mume wako akitoka nje ya ndoa inauma sana tuache utani mi nam-suport huyo mke halali wa pedejee. Huyo Wema akome kabisa ningekua mimi ningemwagia tindikali usoni asitongozwe tena na waume za watu!!!!
 
mmmnh basi mbaya ataonekana wema tu,malaya ni yeye hilo lijanaume lililomuacha mkewe ndani na kwenda kwa wema wala halitaonekana,acheni kulea tabia hii mbovu!!!!....huyo mwanamke kama ni jasiri angemshushia mumewe kipondo kwanza kwa kumdhalilisha....

na wewe wema umezidi,unatoa harufu kama samaki ng'onda......hata ufunikwe vipi ujinga wako haufichiki,
 
Sasa hiyo pole unayompa ni ya nini kama mtu anaingilia ndoa ya watu? Huyu mtoto ni wa kufanyiwa maombi kwani inaelekea ni mchafu kupindukia- kwa wanaume wa dar labda ni mimi peke yangu sijamlala!

Hata mi sijamla bana!
 
Wakuu anayejua mwanamke aliyemfunia wema atujaze na mumewe pia
 
mmmnh basi mbaya ataonekana wema tu,malaya ni yeye hilo lijanaume lililomuacha mkewe ndani na kwenda kwa wema wala halitaonekana,acheni kulea tabia hii mbovu!!!!....huyo mwanamke kama ni jasiri angemshushia mumewe kipondo kwanza kwa kumdhalilisha....

na wewe wema umezidi,unatoa harufu kama samaki ng'onda......hata ufunikwe vipi ujinga wako haufichiki,

Dada asante kwa hii kitchen party!:lol::smile-big:
 
Back
Top Bottom