Masikini Ze Comedy Imekosa Legal Advice

Masikini Ze Comedy Imekosa Legal Advice

mmmh am doubting!!They are going down now.Tatizo hapa kuna nguvu kama nne zavutana
1.TBC vs EATV
2.MENGI vs MANJI aliesikika kuwapeleka wasanii hawa UK.
Vijana mpaka waje na kitu cha kuweza kukubalika tena yahitaji ubunifu wa hali ya juu!!
Wao nyasi tuu wanaumia ktk vita ya mafahali wakubwa.
Na je la msingi ni TBC itaweza kutengeneza graphics nzuri kama zile za EATV ktk kurusha kipindi hiki?
Binafsi ningewashauri warudi EATV wakae chini wajadiliane kiutu uzima nini kifanyike hata kama wanahama.Usupastaa waweke kando waangalie nini EATV wanataka na wao waseme nini wanataka wakishindwana then basi watafute kitu kipya!!
 
Binafsi nadhani ni zilezile kesi za maskini kugawana umaskini! vijana wamejaliwa kuwa na vipaji, vimewapatia riziki kwa kiasi chao kuwa TBC na hata zaidi ya TBC baadae sioni tatizo hao COSOTA wanaonekana kwenye TV kila siku kutetea haki za EATV hawaoni aibu ?kuna wasanii wa ngapi ambao hadi wanakaribia kuingia kaburini hawana kitu Cosota wapo! angalia bendi maarufu za miaka ya 80-hadi sasa waimbaji wamechoka vibaya hadi wanasikitisha je na hiki kizazi cha DIGITAL nao wakalie sifa tu bila maslahi? acheni vijana wazichange kadri wawezavyo hata kama kuhama nchi kabisa nini TBC !
 
Manji kama kweli anataka kuwaendeleza hawa vijana au kama ni TBC wakae na EATV wanunue haki za Ze Comedy kutoka EATV. Utamu wa hapo ni kuwa EATV wanaweza kudai mabilioni ya shilingi, Manji atakuwa tayari kumlipa Mengi?
 
Hakuna aliyesema EATV wana haki miliki ya vipaji vya hao vijana waliokuwa kwenye kundi la Ze Comedy. Mfano Ali Choki alipoona maslahi kiduchu Twanga Pepeta aliondoka baada ya kuona amepatata umaarufu, lakini hakuweza kutumia jina la Twanga Pepeta kwa kuwa sio mmliki wa lebo hiyo. Ndo hivyo hivyo kwa hawa vijana. Kuna tofauti kati ya watu kuanzisha kundi lao la usanii na kulipa jina then kwenda kuomba ajira huko EATV, na EATV kuamua kuanzisha program na kuipa jina kisha kutafuta watu wenye kipaji cha kuigiza katika hiyo program.

Sorry ndugu, mimi nilichokisikia toka kwa wadau wakubwa+vyombo vya habari, ni kuwa, mbali ya kukatazwa kutumia jina la ze comedy, jamaa wamekatazwa kutumia style za "masanja mkandamizaji" na "kijoti joti". Na hata wenyewe walivyokuwa wanajitetea ni kuwa, wamekuwa wakitumia style hizo toka siku nyingi. Kwa wafuatiliaji wa vichekesho vya kibongo mtakuwa mnafahamu. Na ndio maana nilianza kwa kusema (katika reply ya nyuma) kuwa kama ni jina, hapo sawa. But kama ni maswala ya style za "masanja mkandamizaji" na "kijoti joti" plus ile ya "whhhhhhhyy kwanini endelea" basi hapo itakuwa ni kuwaonea hawa vijana unless kuna mkataba kati ya hawa vijana (tena individually) na EATV kuwa hizo style zao zinakuwa surrendered kwa EATV. Otherwise, no such a stupid argument kuwa EATV wana copyright.
 
These poor boys have just been outwitted na hawa wajanja wa EATV lakini hii iwe ni fundisho kwa wasanii wengine wote. Hadi leo hii wasanii wetu wanaona ni upotevu wa hela kuwa na mwanasheria, hii ngoma hata ikienda mahakamani watagaragazwa tu. All in all they have still got their god given talents and nobody can take that away from them, watafute jina jipya na wajifunze kwa mistakes walizofanya na kuepuka kuzirudia.
 
Jina:TBC/MANJI COMEDIAN
Waigizaji:1. Manji mkandamijaji 2. Jotkigoda 3................ etc mbona kazi rahisi tuuuu
 
Mi sioni tatizo kwa EATV kutetea haki yao, hao the comedy kwanza hawana tena umaarufu kama ilivyokuwa mwanzo, ni kwa sababu kuna kipindi walinunuliwa na mafisadi wakawatetea na kisha kuwaponda watu wanaopigana dhidi ya mafisadi.

Kwanza huko kwenye TV ya Taifa wataweza kumsema mkapa?, kikwete?, mawaziri? Jibu ni kwamba hawawezi badala yake wataenda kutetea ufisadi

What about Ze fisadi Comedy?...🙂
 
hollo,

Mbona hata jina niliona wamemodify siku ile ya mechi ya Taifa Stars na Indomitable Lions niliona wanaandika "Zee Comedi" kwa hiyo huenda walistukia kimbunga kinachokuja.. ama kweli la kuvunda halina ubani!!!
 
hollo,

Mbona hata jina niliona wamemodify siku ile ya mechi ya Taifa Stars na Indomitable Lions niliona wanaandika "Zee Comedi" kwa hiyo huenda walistukia kimbunga kinachokuja.. ama kweli la kuvunda halina ubani!!!
Kipanga sikuiona hiyo nafikiri walikuwa wanajua tayari kuwa sanga linaendelea!ndo maana wakaandika hivyo la sivyo EATV ingewashitaki
Asante!
 
This is what happens when you sell your soul to the devil... poor kids, This is what happens when you let fame go to your head.. Mimi naona ni tamaa ya umaarufu wa haraka haraka ndio umewafikisha hapa. Sasa jamani kweli walikua wanategemea Manji ana intentions za kweli za kuwasaidia au alikua anataka kuuwa bendi tuu...
 
What about Ze fisadi Comedy?...🙂

kwi kwi.. haswa ndiko wanako elekea, kwani hata wakiweza badili jina na kumalizana na EATV, kitendo cha kusaini mkataba na Manji kwamba kila onesho lazima li editiwe/lionyeshwe kwanza na kupitishwa hiyo ndo ishakuwa ama - FISADI COMEDY
- FISADI SYMPATHISER COMEDY
 
Ze Comedy yapigwa ‘Stop' TBC

na Sarah Kassim


Katika hali ya kusikitisha haya ndiyo yanayowapata vijana wetu kipenzi wa zecomedy sasa. Hii yote inatokana na uhasama wa tembo wawili wao ni nyasi tu hapa. Je tutaacha kundi hili life je, jf tunawasaidiaje? Maana kinachowapata wao ndio kilichoipata iliyokuwa jambo forums hadi tulipopiga chenga kwenye domain rights na copy right hadi kuwa jamii forums. Hawa nao wakisaidiwa huenda wakpiga bao kama sisi. Na huko TBC naona kama ndio wamekweisha sasa. Mnasemaje wana jamvi?
umiliki wa kazi za sanaa na mgawanyo wa mapato yatokanayo na kazi za sanaa si jambo geni. tanzania yetu bado ni changa katika nyanja hii, ingawa usanii umekuwepo toka enzi za mababu wasanii kibao wanalizwa na wataendelea kulizwa! suala la Ze Comedy linategemea na mkataba wa awali baina yao na EATV (kama kweli mkataba ulikuwepo (nani anaandika script, nani ana design costume, nani anadesign set, nani ana direct, nani anaproduce, nani anafanya maigizo (permanent ama kama mgeni mualikwa), nani anagharimia production costs. then mkataba wenyewe (ama watu wanalipwa kwa mkupuo ama wanalipwa kila baada ya 'episode' plus percentage ya mapato mengineyo yatokanayo na matangazo ya biashara, mauzo ya dvd/video and other merchandize like tshirts, vinyago etc etc. na kuna issue ya future sales and mechandizing, nini kinattokea kundi likisambaratika kwa sababu mbali mbali etc....ama nini kinatokea iwapo upande mmoja unataka kuvunja mkataba. sasa hawa wenzetu wa ze comedy walikuwa na mkataba wa aina gani na EATV?. Kazi za sanaa haziwezi kufanyika kutegemea 'handshake' peke yake. Wanasheria wapo.....pay them to get a better deal. if they are ready to put up a good legal fight, all is not lost. it is still possible to make substantial amends in the original contract by arguing that EATV took unfair advantage of the Ze Comedy proceeded to benefit from their ignorance of the law and helplessness. hii bado inawezekana. lakini je hali ndivyo ilivyokuwa???
 
Hili ni fundisho kwa vikundi vingine tanzania wakimbilie kuandikisha kazi zao mapema kabla wamiliki wa vituo vya TV hawajaenda kuziandikisha kama kazi zao
 
ZE COMEDY ZE END!
Plan B.....
Na wao watarudi kama akili mukichwa!
 
Hili ni fundisho kwa vikundi vingine tanzania wakimbilie kuandikisha kazi zao mapema kabla wamiliki wa vituo vya TV hawajaenda kuziandikisha kama kazi zao

wengi wa wasanii elimu chach, sasa atokee mwenye huruma awasaidie au atokee mengi awakamuue wakishtuka wapi, wameula na chua kwa uvivu wao wa kuchagua
 
Jina siyo tatizo sana, wanaweza kujiita "Mahokaa" au "Pwagu na Pwaguzi" na kuachana na "Ze Comedi" huku wakitumia wasanii walewale; tatizo ni mazingira ya kazi kama yatawaruhusu kusema yote waliyokuwa wakisema wakati wakiwa EATV hadi ikafikia wanasiasa kadhaa wakawa wanawachukia huku wananchi wa kawaida wakiwafurahia sana. Ukiangalia comedies nyingi hasa za late night kama zile za akina Jay Reno na David Letterman (USA) utaona kabisa kuwa kazi ya comedy inahitaji uhuru sana kusudi uweze kutumia matukio ya siku kumpiga kishoka mtu yeyote hata kama ni rais wa nchi. Sasa kama jamaa hawa wanakilimbilia pesa ambazo kwa vyovyote ni calculated to the decimal point bila kuangalia mazingira ya kazi huko TVT wanakokwenda, watajikuta wanashindwa tena kuwafurahisha wapenzi kwa vile inawezekana kabisa wakawa hawawezi kuwazungumza wanasiasa kwa uhuru kama waliokuwa nao huko EATV.

Kupanga ni Kuchagua
 
Samahani members.
Kuna mtu anaweza kuwa na acess na huo mkataba?Nimeona ni vema tuuone kwanza ili tuchangie kile kilicho kweli.Kama umeshapostiwa mahali naomba nielekezwe
 
Hawa ni wajinga kwani waliona kuwa wamekuwa maarufu wakadhani kuwa wako juu ya sheria?

Hawahitaji huruma hawa kwani hata ningekuwa mimi wa EATV ningetetea haki yangu ,na huo ndio mfano wa kuigwa .
Attitude hiyo....Mhh..
HAPANA.SIO KI HIVYO WAKWETU.
 
Back
Top Bottom