Masikitiko - Chelsea kushuka daraja msimu ujao .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nimefanya uchunguzi miongoni mwa timu zilizopo kwenye ligi kuu ( PREMIER LEAGUE ) kwa sasa Nchini England , utabiri wangu hauiepushi chelsea na janga la kushuka daraja.

Ikiwa imesalia mechi moja tu , timu hii ina point 48 tu ! Hii ni dalili mbaya sana kwa msimu ujao .

wachambuzi wa mambo ya soka wanadokeza kwamba laana ya kudhalilisha makocha wa dunia nzima ndiyo inayoitafuna chelsea.

Wengine wanatabiri kwamba Antonio Conte ndiye Mwl wa kwanza miongoni mwa watakaotimuliwa msimu ujao, ukiangalia kwa makini wachezaji wa chelsea wamekata tamaa kabisa ! Na game ya jana dhidi ya Sunderland ni ushahidi wa wazi kabisa .

Kwaheri chelsea , kwaheri Abramovic , soka si kama biashara ya mafuta .
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yokobus mbona povu jingi
The [emoji156] [emoji156] [emoji156] [emoji156]


Huenda hii mada inaukweli ndani yake
 
Chelsea kweli alikuwa na msimu mbaya ila kushuka daraja eti kisa wachambuzi wamesema huo ni upuuzi, mwanzo wa ligi hao hao wachambuzi 80% waliipa chelsea kuwa itabeba ubingwa ila kilichotokea ndio hicho tumekiona, kwahiyo habari ya kushuka daraja haiwezekani labda ungesema wataendelea kuwa na msimu mbaya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yokobus mbona povu jingi
The [emoji156] [emoji156] [emoji156] [emoji156]


Huenda hii mada inaukweli ndani yake
Muulize mchezaji bora messi timu gani hawazi,hajawai kuifunga na kushuka daraja atakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…