zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ni mbaya sana kuna mwamba ni mwana wa 1990 ila Pombe imemtafuna sasa hivi ukimuangalia km alizaliwa 1960 naichukia Pombe to the graveuraibu wa pombe
Ila wewe huelewi nini hapo?Eh sikuelewa 😹😹
Nilijua kafa kumbe madawa 🙌🏾Ila wewe huelewi nini hapo?
Pombe huamia kwenye madawa chanzo sio madawa chanzo ni pombe, mlevi yoyote hupenda kupata booster kuboost steam yaan stimulation ziwe juu zaidi ya pale alipo na zipande kwa muda mfupi yaan akigusa tu kalewa ndio hapo anapohama kwenye madawa ndio maana siipendi pombe kabisa kwanza mimi na walevi hatupatani, sio msabato sio mlokole sio mwislamu ila pombe big noNilijua kafa kumbe madawa 🙌🏾
Kuna mstari wa Kimbunga Mchawi anasema "Jose Mtambo yupo chimbo anakula viroba", Jose,Roma na Darassa wakaja kumjibu kupitia ngoma ya Kaa tayari.
Huenda Roma angekuwa rafiki mzuri, mwenzake asingefikia huku! Inawezekana Kimbunga alishaona uraibu wa mshkaji kitambo sana kabla mambo hayajaharibika!
We mtoto wa afu nne uwez mjua huyoAta simjui wajomba zangu who is dis?💔 May his soul rest in power
Pombe ndio chanzo, waambieni vijana na wazee wapunguze pombe idadi ya watu waliorukwa na akili inazidi kuongezeka kwa kasi sanaUsimlaumu Roma kwa maisha ya huyu bwana mzee. Yeye mwenyewe ana changamoto za maisha yake, huyu mtu mzima na maamuzi yake.
Okay 🙌🏾Pombe huamia kwenye madawa chanzo sio madawa chanzo ni pombe, mlevi yoyote hupenda kupata booster kuboost steam yaan stimulation ziwe juu zaidi ya pale alipo na zipande kwa muda mfupi yaan akigusa tu kalewa ndio hapo anapohama kwenye madawa ndio maana siipendi pombe kabisa kwanza mimi na walevi hatupatani, sio msabato sio mlokole sio mwislamu ila pombe big no
Yaan ngoja nichukue madini🙌🏾We mtoto wa afu nne uwez mjua huyo
Pombe ndio chanzo, waambieni vijana na wazee wapunguze pombe idadi ya watu waliorukwa na akili inazidi kuongezeka kwa kasi sana
Siyo kweli. Uraibu wa madawa usikie tu kwa mwingine. Hata kama ni ndugu yenu mnaweza kumpambania mpaka mkachoka. Roma si ajabu alishajaribu mpaka akachoka.Huenda Roma angekuwa rafiki mzuri, mwenzake asingefikia huku!
Kwa madini gani...!!!Yaan ngoja nichukue madini🙌🏾
Ya kujua vikongweKwa madini gani...!!!
UhakikaYaan ngoja nichukue madini🙌🏾
Vikongwe mateja hao!Ya kujua vikongwe
Naona si ndo mnaendeleza jamiiVikongwe mateja hao!