The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Nimeisikiliza ngoma yake ya hawana habari saivi,ni mtu tofauti kabisaaNdio kitu kilichofanya nimkubali. Nilipenda style yake na michano
Ile kawaida tu ktk ukuaji ,yule mnyamwezi wa kuzaliwa hajui shida mpk anakufa, shida zote zakujitakiaMimi namjuwa tokea ile coca cola
Langa alikuwa dogo,adabu tele
Sasa alipotaka kuwa msela ndiyo akapotea
Ova
Yuko ghetto na jamaa mmj ashakuwaga konda wanguChid last time nimemkuta Msasani maandazi road anatoka Kwa sapia
Chid huwa namkimbia , maaana tukionana anaanzaga story za kinyonge na vile nilikua nao karibu enzi zle na LangaYuko ghetto na jamaa mmj ashakuwaga konda wangu
Naye mteja...jina lake limentoka
Sema msasani maarufu kdg
Chidy unga anaupenda kama kusaidiwa ashasaidiwa sana
Sema yeye nafsi yake bado kutaka kuacha
Sema watumiaji wa madawa ni watu wa lawama sana
Ova
Kwenye Kaa tayari alichana vizuri sana
No ukuaji huko hapanaIle kawaida tu ktk ukuaji ,yule mnyamwezi wa kuzaliwa hajui shida mpk anakufa, shida zote zakujitakia
Ni kweli ila dogo alikua mnyamwezi sana na mjuaji mnoNo ukuaji huko hapana
Kuna mambo mengine hayajaribiwi mkuu especially madawa, madawa ukingia kutoka ni mbinde sana
Ova
Ni nyimbo ya swahili rap pekee iliyopo kwenye flash yanguNimeisikiliza ngoma yake ya hawana habari saivi,ni mtu tofauti kabisaa
Watumiaji wa madawa watu wa lawama sana,na hawana shkran hata umfanyie nini!Chid huwa namkimbia , maaana tukionana anaanzaga story za kinyonge na vile nilikua nao karibu enzi zle na Langa
Kuna siku niliona show yake pale Ras Carinyo
Chid kazidiWatumiaji wa madawa watu wa lawama sana,na hawana shkran hata umfanyie nini!
Ova
Hajafa bhnAta simjui wajomba zangu who is dis?💔 May his soul rest in power
Ndio nishaambiwa 💔Hajafa bhn