Laizer Peter
Senior Member
- Feb 19, 2013
- 130
- 24
Habari Wana JF
Ndani Ya KATIBA PENDEKEZWA Nimeona Sana Sehemu Nyingi Zinazoelezea MASILAHI YA WAKUU NA MIFUKO YAO ...
Sasa Me Najiuliza Kitu Kimoja Kwamba Yani Kweli Pamoja Na Nchi Yetu Kuwa Na SOURCES OF MONEY Nyiiingi Kama Vile MBUGA ZA WANYAMA Na Sehemu Za Kuchimba Madini Ambazo Daily Zinaingiza Pesa Wameshindwa Hata Kuweka MFUKO WA JAMII?
Japokua Kweli Kuna IBARA Zinazozungumzia Haki Za Binadamu Na Elimu Bora BUT Nina Uhakika For 100% Serikali Yetu Hainaga Kitu Kinachoitwa UTEKELEZAJI.
Kwa Mfano ALBINO Wanachinjwa Daily Na Hakuna Hatua Yeyote Inayochukuliwa Kama ULINZI .....
Pia Kuna Sehemu Zinazozungumzia Njia Zinatakazochukuliwa Kwa Kiongozi Atakaeshiriki Kwenye RUSHWA ...Hapa Naomba Tukumbuke Matukio Ya Huko Nyuma Kama EPA, RICHMOND, ESCROW and Others
Wahusika Waliohusika Hapo Haikuchukuliwa HATUA Zinazofaa Zaidi Ya Kuombwa Kuachia Ngazi (Tibaijuka) Hivi Kweli Mwizi na Mfilisi Aombwe Aachie Ngazi? Na Wengne KUJIUZULU Hiyo Ndo Hatua Kweli Kwa Serikali Yetu?
Kwa Mtindo Huo RUSHWA na UWIZI Ndani Ya Viongozi Wetu Haitaisha Kamwe Maana Kwa Mfano Me Nikichaguliwa Then Nipangiwe Sehemu Flani Nyeti Nikiziotea Naiba THEN Najiuzulu ......
Me Nadhani Ingekua Bora Kama Hii Katiba Ingeelezea Hatua Sahihi Ya Hawa Waizi Ndani Ya Serikali Yetu
Na Kwa Sababu tumepewa Mamlaka ya kuwachagua tupewe pia na Mamlaka kuwaadabisha.
Tanzania + Viongozi Wetu = SIRIKALI
Ndani Ya KATIBA PENDEKEZWA Nimeona Sana Sehemu Nyingi Zinazoelezea MASILAHI YA WAKUU NA MIFUKO YAO ...
Sasa Me Najiuliza Kitu Kimoja Kwamba Yani Kweli Pamoja Na Nchi Yetu Kuwa Na SOURCES OF MONEY Nyiiingi Kama Vile MBUGA ZA WANYAMA Na Sehemu Za Kuchimba Madini Ambazo Daily Zinaingiza Pesa Wameshindwa Hata Kuweka MFUKO WA JAMII?
Japokua Kweli Kuna IBARA Zinazozungumzia Haki Za Binadamu Na Elimu Bora BUT Nina Uhakika For 100% Serikali Yetu Hainaga Kitu Kinachoitwa UTEKELEZAJI.
Kwa Mfano ALBINO Wanachinjwa Daily Na Hakuna Hatua Yeyote Inayochukuliwa Kama ULINZI .....
Pia Kuna Sehemu Zinazozungumzia Njia Zinatakazochukuliwa Kwa Kiongozi Atakaeshiriki Kwenye RUSHWA ...Hapa Naomba Tukumbuke Matukio Ya Huko Nyuma Kama EPA, RICHMOND, ESCROW and Others
Wahusika Waliohusika Hapo Haikuchukuliwa HATUA Zinazofaa Zaidi Ya Kuombwa Kuachia Ngazi (Tibaijuka) Hivi Kweli Mwizi na Mfilisi Aombwe Aachie Ngazi? Na Wengne KUJIUZULU Hiyo Ndo Hatua Kweli Kwa Serikali Yetu?
Kwa Mtindo Huo RUSHWA na UWIZI Ndani Ya Viongozi Wetu Haitaisha Kamwe Maana Kwa Mfano Me Nikichaguliwa Then Nipangiwe Sehemu Flani Nyeti Nikiziotea Naiba THEN Najiuzulu ......
Me Nadhani Ingekua Bora Kama Hii Katiba Ingeelezea Hatua Sahihi Ya Hawa Waizi Ndani Ya Serikali Yetu
Na Kwa Sababu tumepewa Mamlaka ya kuwachagua tupewe pia na Mamlaka kuwaadabisha.
Tanzania + Viongozi Wetu = SIRIKALI