Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi


Mkuu sio kinyesi tu hata mkojo wanatembea nao. Maana wakikojoa huwa wanajipangusa tu na hayo makaratas yao ila mwisho wa siku wanavunda tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wadada hii kweli hii kitu ni uchafu
 
Ivi ile kauli ya Magu haihusishi tafiti kama hizi?
 
Nani kakuambia dar tuna shida? shida ya nini wakati kila kitu kipo,kama vyakula mnatuletea tunawapa chenchi, na kama ni papa zinapatikana kibao za kihaya,shida mnazo nyie huko porini
Mwambie ukweli mkuu .wanataka kilamtu awe mkulima .
 
Wewe nani kakwambia huwa tunaenda kukatia gogo ofisini? Vile ni kwaajili ya haja ndogo
 
Sio kwamba hawatumii Maji ila baada ya kutumia Maji hujikausha na hivyo vitishu ilikufanya eneo lisiwe na unyevunyevu
Uchafu ni asili ya MTU maana wengi tunadhani kunawa na Maji baada ya kunya au kukojoa ndio usafi bali nijuavyo mimi ni kuwa sehemu za siri lazima ziwe kavu kuepuka unyevu utakaozaa harufu due to bacteria watakaozalishwa na mafangasi mengine.
Ndio maana hata mwanaume kama unajielewa baada ya kujisaidia lazima ufute sehemu yako ya siri kwa tishu kuepuka kuweka wet spot katika trouser na watu kujua kuwa unatoka kunya
 
Kwakweli hajui hizo wipes znatumika vipi ...anatujazia nzi tuu hapa
Kwanza ni vidogo sanaaaa na laini mnooo kamwe huwezi tumie pekee bila Maji.
Nimegundua kuwa wengi hatujui jinsi ya kujisafisha ndio maana unaenda kudo na MTU akivua vua nguo kama vile panya kaoza.
Usafi ni talent
 
Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]

[emoji135]‍♂️[emoji83][emoji83]
 
Mi navyojua maji tunatumia ila hizo tishu ni kwaajili ya kufuta maji ili pasiwe na unyevunyevu huko chini.
Huo ni mtazamo wangu, kwa wengine sijui.
Na ile mikucha mirefuu imekaa kama machepe jee ,huwa haihifadh kinyesi kwel?
 
Ushamba wako tu! Kuna watu hawajawai tumia maji tokea wazaliwe na bado hawaumwi! Ni utamaduni wa nje huo...
 
Na ile mikucha mirefuu imekaa kama machepe jee ,huwa haihifadh kinyesi kwel?
Hilo la kucha watajibu wahusika maana mm huwa sina utaratibu wa kufuga kucha, kucha zangu mara zoteni fupi.
 
Kwani uongo?
Nimeuliza maswali kadhaa hapo, badala uyajibu nawewe unaniuliza "Kwani uongo?"

Kama ni Ukweli mmejuaje?

Mmefanya tafiti kwa wanawake wangapi mpaka mkapata majibu hayo? Au huwa mnawachungulia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…