MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 941
HAPPY NEW YEAR 2018Jiwe la gizani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPPY NEW YEAR 2018Jiwe la gizani
Hivi ww uliecomment hivi[emoji115][emoji115] unaweza kumtawaza mtt kweli kama kujitawaza ww mwenyewe unaona kinyaaa??Wengine unaanza kujifuta na tishu kisha maji yanafuatia hatushiki vinyesi.[QUOTE ]
Duh!
mimi kama mtu mzima huwa naamini tissue hizo huzitumia kupangusa wakienda haja ndogo na sio kubwa. lakini hata ingekuwa haja kubwa, ukienda ulaya m bona utapata shida, manake utaenda msalani lakini hautakuja kitu chochote cha kukusaidia kutawadha isipokuwa tissue, sasa tuseme wazungu wote wachafu? au kwasababu wewe hujui kujisafi kwa tissue hadi utakate unafikiri wengine wanafanana na wewe. ukitembelea nchi zingine wakajua wewe unatawadha kwa mikono hakika wanaweza wakakutenga kabisa, hawaamini.Yaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Hata jamii ya wakikuyu Kenya huko unakuta mdada mzuri huko chini hajawahi tumia maji zaidi ya kuoga,yupo jamaa yangu aliishi Nairobi anakwambia hiyo nyumba aliyokuwa anaishi walikuwa wanamshangaa coz akienda toilet anabeba maji,siku ya wenyeji wakamwuliza mbona ukienda toilet unabeba maji?,kwa maelezo ya mshikaji anasema ilibidi awape somo kiaina mbona ilianza kutumia maji kwenda msalani baada ya wakaanza kumshukuru kwa kuwaelimisha coz walikuwa wanatembea na mimaviKweli tena! Huo ni utamaduni wao... Nilifanikiwa kusoma shule moja nikakutana na watoto wakishua... Yaani hawawezi tumia maji kujisafisha! Tena wakawa wanatuona sie tunaotumia maji ni wachafu, eti tutaahikaje vinyesi vyetu wenyewe?! Kuna mmoja ndo akasema tokea azaliwe hajawai jitawaza na maji baada ya kujisaidia, iwe haja kubwa au ndogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungekua mwanamke sipatii picha,... Mana wa kiume ila mpanaaa kama pazia la leba..muone..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bado nachekaEbwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
kwahiyo wanatembea na maviYaani siku izi wadada wengi haswa warembo na wa maofisini wanamchezo wa kutembea na tishu na vijitambaa flani mfano wa tishu vinakuwa na unyevu unyevu hivi sasa kumbe hizi tissue na vijitambaa ndo wakienda msalani kukata magogo au haja ndogo wanajipangusa wanaondoka eti kisa hawataki mimaji maji mimaji yaani huu ni uchafu wa kiwango cha kimataifa ivi kwa nn mwanamke utumie tissue? Ndo maana nyuzi za maradhi yenu sehemu za siri haziishi mnatembea na uchafu haswa madada wa maofisini, wadada wa chuo na ma sister duu tishu mnajipaka vinyesi
Duuuh...! Mawe?Bora hao kuliko wale wanaotumia mawe kupangusia dushe zao na tunakuta kwenye masink ya kukojolea.