Masister duu na wanawake wa maofisini mnatembea na vinyesi

mimi kama mtu mzima huwa naamini tissue hizo huzitumia kupangusa wakienda haja ndogo na sio kubwa. lakini hata ingekuwa haja kubwa, ukienda ulaya m bona utapata shida, manake utaenda msalani lakini hautakuja kitu chochote cha kukusaidia kutawadha isipokuwa tissue, sasa tuseme wazungu wote wachafu? au kwasababu wewe hujui kujisafi kwa tissue hadi utakate unafikiri wengine wanafanana na wewe. ukitembelea nchi zingine wakajua wewe unatawadha kwa mikono hakika wanaweza wakakutenga kabisa, hawaamini.
 
Hata jamii ya wakikuyu Kenya huko unakuta mdada mzuri huko chini hajawahi tumia maji zaidi ya kuoga,yupo jamaa yangu aliishi Nairobi anakwambia hiyo nyumba aliyokuwa anaishi walikuwa wanamshangaa coz akienda toilet anabeba maji,siku ya wenyeji wakamwuliza mbona ukienda toilet unabeba maji?,kwa maelezo ya mshikaji anasema ilibidi awape somo kiaina mbona ilianza kutumia maji kwenda msalani baada ya wakaanza kumshukuru kwa kuwaelimisha coz walikuwa wanatembea na mimavi
 
Vip kwa yale mahotel makubwa hasa Arusha na Nairobi huwa hayana vle vya kujitawazia wala kopo unakuta tissue tu kama hukuwa na kakopo kako unaweza lala na mavi
 
Ebwana kweli kuna mmoja nimetoka kumnyonya muda huu daaaaah nimekula sana mbolea [emoji83] [emoji83] [emoji48] [emoji48] [emoji276] [emoji276]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bado nacheka
 
kwahiyo wanatembea na mavi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…