Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi

Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi 😔

1. Maisha sio vita
2. Maisha ndio haya haya tu
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa sio kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo pesa ni ziada tu
8. Utajiri unatesa sana bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini

Umaskini haufai hivyo ukiwa maskini na ukawa na misemo hii ni tosha kuwa umemaua kuukubali na kweli utakutesa.

Hakuna cha maisha ndio haya haya kuna mazuri zaidi ya hayo acha tu kujifariji kwa misemo kandamizi

#mwanasayansi saul kalivubha

#mitandaoni fikia ndoto zako
 
Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi 😔

1. Maisha sio vita
2. Maisha ndio haya haya tu
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa sio kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo pesa ni ziada tu
8. Utajiri unatesa sana bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini

Umaskini haufai hivyo ukiwa maskini na ukawa na misemo hii ni tosha kuwa umemaua kuukubali na kweli utakutesa.

Hakuna cha maisha ndio haya haya kuna mazuri zaidi ya hayo acha tu kujifariji kwa misemo kandamizi

#mwanasayansi saul kalivubha

#mitandaoni fikia ndoto zako
Ongezea,tunamuachia mungu tu

Ova
 
Back
Top Bottom