Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Umaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya haya tu.
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa si kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo, pesa ni ziada tu.
8. Utajiri unatesa sana, bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini.
Badala ya kutumia misemo hii kama kisingizio, tafuta njia za kuboresha maisha yako na kuachana na mawazo ya kujidhalilisha.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya haya tu.
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa si kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo, pesa ni ziada tu.
8. Utajiri unatesa sana, bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini.
Badala ya kutumia misemo hii kama kisingizio, tafuta njia za kuboresha maisha yako na kuachana na mawazo ya kujidhalilisha.