Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Zinaitwa excuse, hutumika sana ili ku justify failureMASKINI ALIYERIDHIKA HUJIMBELELEZA KWA MISEMO INAYOMKANDAMIZA ZAIDI 😔
1.MAISHA SIO VITA
2.MAISHA NDIO HAYA HAYA TU
3.PESA HAINUNUI FURAHA.
4.UTAJIRI NI DHAMBI.
5.KILA TAJIRI ANA USHIRIKINA.
6.PESA SIO KILA KITU.
7.MAPENZI NI UPENDO PESA NI ZIADA TU
8.UTAJIRI UNATESA SANA BORA HATA USIWE NA PESA.
9.HATA MATAJIRI WATAKUFA.
10.MBINGUNI HAKUNA CHA TAJIRI WALA MASKINI
Umaskini haufai hivyo ukiwa maskini na ukawa na misemo hii ni tosha kuwa umemaua kuukubali na kweli UTAKUTESA.
Hakuna cha Maisha ndio haya haya kuna mazuri zaidi ya hayo acha tu kujifariji kwa misemo kandamizi
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Mitandaoni FIKIA NDOTO ZAKO.
Zinaitwa excuse, hutumika sana ili ku justify failure
Uwe una hela au huna.hayo.maneno ni ya .ukweli..hakuna uongo apo labda ujizime data tuMASKINI ALIYERIDHIKA HUJIMBELELEZA KWA MISEMO INAYOMKANDAMIZA ZAIDI 😔
1.MAISHA SIO VITA
2.MAISHA NDIO HAYA HAYA TU
3.PESA HAINUNUI FURAHA.
4.UTAJIRI NI DHAMBI.
5.KILA TAJIRI ANA USHIRIKINA.
6.PESA SIO KILA KITU.
7.MAPENZI NI UPENDO PESA NI ZIADA TU
8.UTAJIRI UNATESA SANA BORA HATA USIWE NA PESA.
9.HATA MATAJIRI WATAKUFA.
10.MBINGUNI HAKUNA CHA TAJIRI WALA MASKINI
Umaskini haufai hivyo ukiwa maskini na ukawa na misemo hii ni tosha kuwa umemaua kuukubali na kweli UTAKUTESA.
Hakuna cha Maisha ndio haya haya kuna mazuri zaidi ya hayo acha tu kujifariji kwa misemo kandamizi
#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Mitandaoni FIKIA NDOTO ZAKO.
🙏Maisha ni haya haya mkuu, hakuna maana ya kumtoa uhai mwenzako ili wewe upate pesa, cheo au umaarufu kwa sababu mwisho wa siku utagundua vyote havina msaada yaani ubatili.
Maisha ni haya haya, ukipata tunza, ukikosa tumia ulichotunza
Sawa sawa tajiriUmaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya haya tu.
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa si kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo, pesa ni ziada tu.
8. Utajiri unatesa sana, bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini.
Badala ya kutumia misemo hii kama kisingizio, tafuta njia za kuboresha maisha yako na kuachana na mawazo ya kujidhalilisha.
Wanatutake ili wapate hela. Maskini ya Mungu watatumaliza bure hawa matajiriMaisha ni haya haya mkuu, hakuna maana ya kumtoa uhai mwenzako ili wewe upate pesa, cheo au umaarufu kwa sababu mwisho wa siku utagundua vyote havina msaada yaani ubatili.
Maisha ni haya haya, ukipata tunza, ukikosa tumia ulichotunza
Ukisikia kuna mtu anasema Pesa ni Kila kitu ujue huyo ni Maskini. Hajawahi kushika pesa anatamani ashike pesa na anadhani pesa itamaliza shida zote alizonazo.Kama huamini pesa sio kila kitu , zipate tufanane utajua kwa kweli kuna mambo pesa haina msaada
Ukiwa maskini huwa unawaza kama hivi.Umaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya haya tu.
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa si kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo, pesa ni ziada tu.
8. Utajiri unatesa sana, bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini.
Badala ya kutumia misemo hii kama kisingizio, tafuta njia za kuboresha maisha yako na kuachana na mawazo ya kujidhalilisha.
Umesahau freemason. Lakin wakiishiwa wanakuja kuomba msaada wa hela kutoka freemasonUmaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya haya tu.
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa si kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo, pesa ni ziada tu.
8. Utajiri unatesa sana, bora hata usiwe na pesa.
9. Hata matajiri watakufa.
10. Mbinguni hakuna cha tajiri wala maskini.
Badala ya kutumia misemo hii kama kisingizio, tafuta njia za kuboresha maisha yako na kuachana na mawazo ya kujidhalilisha.