Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
5 years old mbona mapema sana.Umasikini huanzia miaka 5 tu
hii mbona mapema sana.Unaanzia tumboni
Ukitobowa maisha ndio umaskini unapokoma.Naomba kuuliza umaskini unaanzia umri gani? Yani mtu ukifikisha umri gani na akawa bado hajiwezi katika mahitaji yake muhimu anaqualify kuitwa maskini.
Ikiwa na maana gani mtoto wa miaka 9 anaeishi kwao hatuwezi kumuita maskini ila kwakua Mpwayungu Village mwenye miaka 46 anaeshi kwa shemeji yake pale Isunga chupi tunamuita maskini ( natania ππ€£) .
Swali ni je maskini anaanzia umri gani? Kama ni 18 kama Mtu mzima tujue....
Bado nachukua darasa la uandishi
Unaweza kuzaliwa ukiwa maskini...maana umaskini unajumuisha vitu vingi mali,afya,akili,haliNaomba kuuliza umaskini unaanzia umri gani? Yani mtu ukifikisha umri gani na akawa bado hajiwezi katika mahitaji yake muhimu anaqualify kuitwa maskini.
Ikiwa na maana gani mtoto wa miaka 9 anaeishi kwao hatuwezi kumuita maskini ila kwakua Mpwayungu Village mwenye miaka 46 anaeshi kwa shemeji yake pale Isunga chupi tunamuita maskini ( natania ππ€£) .
Swali ni je maskini anaanzia umri gani? Kama ni 18 kama Mtu mzima tujue....
Bado nachukua darasa la uandishi
[emoji1][emoji1][emoji1]Akili zako zinaashiria bado una utoto mwingi sana,
Umri wa adriz na Mpwayungu VillageNaomba kuuliza umaskini unaanzia umri gani? Yani mtu ukifikisha umri gani na akawa bado hajiwezi katika mahitaji yake muhimu anaqualify kuitwa maskini.
Ikiwa na maana gani mtoto wa miaka 9 anaeishi kwao hatuwezi kumuita maskini ila kwakua Mpwayungu Village mwenye miaka 46 anaeshi kwa shemeji yake pale Isunga chupi tunamuita maskini ( natania ππ€£) .
Swali ni je maskini anaanzia umri gani? Kama ni 18 kama Mtu mzima tujue....
Bado nachukua darasa la uandishi
NakubaliUfukara unarithika kama ulivyo utajiri.