Maskini Baba Diamond, azidiwa ghafla

Kikubwa ni kujifunza kusamehe mzee alikosa yamepita wanatakiwa kuangalia maisha mpya nataka kujua akifa huyo mzee kwenye msiba ataenda au ? Naisi diamond utoto pia unamsumbua au niseme ulimbukeni afande sele alikanwa na mama yke lkn alisamehe.
 
Tangozo lenu zuri sn kwa kapatia kuitangaza iyo muganga y jadi.alifikilia kumlipa D kumtangaza n garama kubwa sn.bora nitumie tax tu
 
Kikubwa ni kujifunza kusamehe mzee alikosa yamepita wanatakiwa kuangalia maisha mpya nataka kujua akifa huyo mzee kwenye msiba ataenda au ? Naisi diamond utoto pia unamsumbua au niseme ulimbukeni afande sele alikanwa na mama yke lkn alisamehe.
Bila Shaka utakuwa unabebwa na upepo wa watu na hufuatilii vitu, kwani kuna mahali Diamond alishasema hajamsamehe baba yake?? Fuatilieni vitu sio kuropoka..alishasema amemsamehe yote yaliyopita ila kila mtu aendelee na maisha yake, mlitaka amjengee mjumba na gari ndio mseme kamsamehe?? How sure are you kwamba anaumwa kweli na sio anaigiza ili ale mema ya Diamond??? Ana watoto kibao tu akiwemo na yule dogo aliyekuwa anatafuta kiki kwa kuiga nyimbo za kaka yake, yupo Queen Darleen na wengine kwanini wasimsaidie badala yake ugonjwa wake Diamond tu ndio amsaidie?? Angekuwa na mtoto mmoja tu sawa lakini watoto kibao uje kufa na mmoja?? Ugonjwa wake umekuwa jini kwamba Diamond akimsaidia ndio utatoka??? Fikiria kabla ya kuandika vitu, ukiona Diamond kakaa kimya ujue anajua anachokifanya maybe ashajua mdingi anaigiza na pia huyo mdingi zezeta maana anatumiwa saaana na waandishi wa habari na inawezekana analipwa ili kuuza magazeti kwa habari za Diamond tu...bullshit wazee kama hao wanasahau wana watoto wengine wao wanashupaza shingo zao kwa mmoja tu...akafie mbali
 
Unajua nn maana kusamehe mtu aendi hta kumjulia hali yke ndio kusamehe uko kifupi yule mtoto ni limbukeni tu ana muda sio yupo busy ila nina hakika akifa yule mzee atajifanya kulia sna ujumbe kibao ujinga yule mzazi ugomvi wa Baba na mama ww sio wako
 
Nakumbuka huyu Mzee alishawahi muomba msamaha kijana wake halafu mtoto anashindwa kukubali msamaha wa baba yake. Yeye Dai anamkosea mangapi Muumba wake?

Tatizo nalo lipo kwa Mama yake, anaona alishaachana na huyo Mzaz mwenzake na ana maisha mengine so anaona Dai atamtunza mke mwingine wa huyo mzee. Uswahili umemjaa huyo mama
 
Una uhakika gani kama haendi Una ushahidi??? Mambo ya familia za watu yaache kama yalivyo...Yule mzee amefua hivyo anatafuta kimchafua mtu ili asaidiwe...huna ushahidi iwapo anaumwa kweli, huna ushahidi kama hawasiliani naye hivyo huwezi kumsemea..ndio Maana nikasema ukiona amekaa kimya ujue anajua anachokifanya.. kama Una kumbukumbu nzuri basi utakumbuka tukio la yule dogo wa Kamwambie alivyosema Diamond katumia uchawi kutoka na yote kwakuwa hakuwa akimsaidia lakini Diamond hakuwa na muda wa kujibu..watu wakaongea saaana kama wanavyoongea Sasa hivi hakujibu kitu anajua anachokifanya hivyo hutakiwi kuwa msemaji wa upande wowote ndugu...
 
Huyu nae sasa hadi picha za kupozi, anatafuta kiki ya nini tena??!!! labda ndio kufutia machozi anayoyajua yeye....mmmh kazidi anataka kuwa celeb haswa...

Alipewa pia salamu za siku ya akina Baba na mwanae Baba Tiffah aka mume wa Zari.
 
Kweli kabisa, ugomvi wa baba na mama haukuhusu mtoto! Ninachokiona ni kuwa Diamond kubebeshwa mbegu ya chuki na mama yake ili amchukie baba yake na ndivyo ilivyo kwa wanawake wengi wasio na elimu na washamba! Baba atabaki kuwa baba regardless ni makosa mangapi aliofanya nyuma, ukishakuwa mwanaume mtu mzima you have to learn to understand things but sioni Diamond akifanya hilo ilihali baba yake alishaonyesha kujuta kwa makosa yake. Huwezi kumsamehe mtu na bado ukaendelea kuwa na kinyongo nae...Haiwezekani!!!
 
Halafu hapo hospital kweli jamani? Mmh, mbona kama Bongo Movie, hizi kamba sasa.
 
Inawezekana babake ana tatizo kwenye miguu yake lakini hana sababu ya kuyumiwa na wenye magazeti na mmiliki wa zahanati kutangaza biashara zao au kutaka kumdhalilisha Diamond - haya ni masuala ya kifamilia wao inaeahusu nini, kwani huyo baba ana mtoto mmoja tu, regardless ya tatizo alilo nalo mambo anayo yafanya skidhirikiana na wanahabari sio mazuri hata kidogo if anything yatamkasirisha Diamond mpaka baba wa watu atajikuta anakosa msaada kutoka kwa Diamond kutokana na kutaka kulazimisha mambo, abashauriwa vibaya na wapambe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…