Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Kuna makala iliandikwa na edo 'diamond na ngasa nao watalia?' ngasa ameshaanza kulia kuomba michango.mastaa wetu hawaweki akiba kwa maisha yao ya bdae
michango ya nini mkuu?
Banza ndio Legend wa muziki wa dansi mzalendo wa zama hizi hakuna msanii yeyote mzalendo anayemfikia.
Nadhani wadau wa muziki wanapaswa kujua nini hasa cha kumsaidia huyu Legend.
Unajua maanaa ya uzalendo? Banza ni mzalendo kwa lipi?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Uzalendo wa kula sembe na kuwatajirisha madon wa sembe akina mheshimiwa anayekaa Magomeni,mtoto wa kishua wa pale Victoria yaani yule nusu mzungu wa kindenge mwanae babu ,kigogo wa Chama cha wana MagambaUnajua maanaa ya uzalendo? Banza ni mzalendo kwa lipi?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Unajua historia ya muziki wa dansi?Unajua jinsi wakongo walivyokuja na kuteka soko kabla miaka ya tisini banza akiwa na African stars band (pengine kwa umri wako nikisema Twanga pepeta utaelewa) kurudisha heshima ya watanzania? pengine unafikiri wazalendo ni wanasiasa na askari wanaofia vitani!!
Hahaha unachekesha balaa. Kwa hiyo huo ndio uzalendo?