Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Hali ya Msanii Banza Stone yaelezwa ni mbaya,kwa sasa yupo nyumbani kwake maeneo ya Sinza Vatican akijiuguza,wadau na wapenzi wa Msanii huyu wamsaidie apate mshauri kwani amekata tamaa,huku akiwa ametemwa na Band ya Extra Bongo!