Kenney
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 295
- 174
kashazikwa kisiasa hyo..
Weeeeeh! temea mate Chini! usiombe return of the Doctor, ni zaidi ya Mark Morison!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashazikwa kisiasa hyo..
Kasahaulika vp? Wakati katolewa kwenye kwenye kula mihogo na sasa anagonga mvinyo Marekani na Gavana?!
nakuu kweli siasa mchezo mchafu ila kwa maana hii ukijaribu kuchafua ndio inakupoteza katika harakati za kutimiza matakwa ya mrengo wa pili na ambao walikua wafadhili wake hatimaye dr. slaa amepotea kwenye siasa za bongo kama mttu aliyezombwa na mafuriko ambavyo ua anacheka hovyo kumbe anaenda kilindini tayari kwa kifo
Naye dr. amesahaulika kama ambazo JOHN OKELLO alivyosahaulika kuwa ndiye champion wa mapinduzi ya zanzibar
***** MASKINI SLAA****
Ana Kula Mihogo Yake Kule Marekani.