Maskini Jerry Muro droo ya Al Ahal yamrusha akili

Balantanda MKUU hizo ni ndoto za mchana Yanga hatoki misri sio chini ya bao 3 wamisri walisema Jana baada ya mechi
 
Tuache unafiki mbabe wa waarabu Tz ni Simba hao wengine wanafuata mkumbo tuu.
Ila jana ilitupasa kuonesha uzalendo kwanza hayo mengine ilibidi kuweka kapuni for a while
 
Kwanzia sasa ni mshabiki wa waarabu, waarabu wanarijua soka tofauti na sisi maneno mengi..ni hayo tu
 
Hivi yanga walikuwa wanajiandaa na nini sasa?...Maana kwa mpira wa jana hata timu yangu ya Nyundo fc ya hapa Chalinze isingecheza vile!!.
 
Kumbe hii tread ya yanga ndiyo maana wala usijari ntapata tu
 
Wa mchangani kama kawaida yao, level za kimataifa wanazisoma kwenye magazeti tu.

Na muishukuru Yanga na Azam zinawaletea burudani mnajazana viwanjani.

BTW mwakani tena mpo mchangani.
 
bora yanga wamedroo na waarabu wa misri kuliko simba kufungwa na waarabu wa Tanga...kweli simba ni timu ya matope na kipindi si watafuga kambare
 
Ahaaaa ahaaaaaa mzee wa matopeni umeyapokeaje matokeo yenu dhidi ya waarabu wa Tanga?
 
Yaani kuna watu kama mabint jamani mpaka leo wakati wa mh.Magu huu !
 
Matokeo ya simba Na coastal in ya kawaida tu matokeo yanayogonga vichwa vya wapenzi wa kandanda ni Yale ya Yanga vs All Ehaly, Yanga Kwa majigambo yao waliwadanganya Watanzania kuwa watashinda huo mchezo kilichokuwa hakijulikani ni idadi ya magoli
 
Kumbe kufungwa kawaida ila ku droo tatizo kweli mpira wa bongo noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…