Maskini Mr. Nice

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,095

GrandPa Records Ya Kenya Imevunja Mkataba Wake Wa kazi na Msanii Mr Nice kutoka Tanzania Baada ya miezi michache ya kufanya nae kazi. Fahamu Mr Nice alipewa mkataba na GrandPa Records huku akijua kuwa ana mkataba mwingine Tanzania na Producer Lamar. GrandPa Wamesema Mr Nice Ni Msanii Mvivu na Asiye toa ushirikiano kwenye kazi kabisa ndio maana wameamua Kuvunja mkataba wake. Hii Ni Post ya FaceBook Ya GrandPa Records.
 
Duh! Soon nae ataanza kula poda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ni kweli mr nice ni mvivu anayependa starehe zaidi kuliko kazi,si mr nice wa 2003
 
riziki ni mafungu saba
atapata kwingine.
 
watanzania asilimia 75 ni wavivu sana wanapenda starehe kuliko kujituma kupata hela za kufanyia starehe.
 
Juzi juzi ililipotiwa anakula sana bata Nairobi anakuwa na mademu 7 anakula nao bata.
 
Mr. Nice wa wakati ule ndiye angekua Diamond wa mwaka huu!
 
Mr. Nice wa wakati ule ndiye angekua Diamond wa mwaka huu!

makosa ya mr nice ni darasa kwa diamond ndo maana naamini diamond hawezi kuchoka kibwege kwani kashajifunza kwa mr nice halafu uzuri wa diamond ni mtoto wa mbwa anayeact utozi so naamini ana elimu ya mtaani ya kutosha kuhakikisha anakimbiza kwa muda mrefu
 
Sijui takwimu nyingine mnazitoaga wapi.

takwimu za kweli hizo kaka na inawezekana ni 85% watz ni wavivu na wanapenda short cut sana,...sishangai kuona akina dada wengi wamejiingiza kwenye biashara ya kubeba sembe.
 
Waswahili wanasema: Mbwa Mzee hakubali mafunzo.
 
watanzania asilimia 75 ni wavivu sana wanapenda starehe kuliko kujituma kupata hela za kufanyia starehe.

Wewe uko kwenye 75% au 25%?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Anahitaji maombi sasa!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…