Aje tujiunge kwenye harakati Mr Nice sio mtu wa kupotea kirahisi hivi....Dada na prof watakuasist.
Hao "babu" ndio clouds wa kenya, ila kwa kuwa wamekushindwa roho zetu kwatu hawajakunyonya, rudi bongo uendelee kusaga rhumba mwaya huku tukikaa pembeni na kukuangalia.
Ila ungefanikiwa tungekuja na silaha za maangamizi kukung'oa kwa hao wanyonyaji..
Ukiona unafanikiwa ujue unanyonywa.