Maskini Mr. Nice

Arudi kulima mihogo kukata mauno kumemshinda.
 
Ajifunzi tu?? hana wivu wa maendeleo???? ana nini huyu??? aaagggrrrrrrrrr
 
Aje tujiunge kwenye harakati Mr Nice sio mtu wa kupotea kirahisi hivi....Dada na prof watakuasist.

Hao "babu" ndio clouds wa kenya, ila kwa kuwa wamekushindwa roho zetu kwatu hawajakunyonya, rudi bongo uendelee kusaga rhumba mwaya huku tukikaa pembeni na kukuangalia.

Ila ungefanikiwa tungekuja na silaha za maangamizi kukung'oa kwa hao wanyonyaji..

Ukiona unafanikiwa ujue unanyonywa.
 
takwimu za kweli hizo kaka na inawezekana ni 85% watz ni wavivu na wanapenda short cut sana,...sishangai kuona akina dada wengi wamejiingiza kwenye biashara ya kubeba sembe.

Kaka,labda umesahau idadi ya watanzania.alafu mtu akibeba sembe usinambia eti mvivu,mi nafikiri hata wapiga debe sio wavivu,wanakula kwa jasho lao.Usitake watu wote wavae tai ndo ujue wachapakazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…