fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 176
mbona unanitisha nishauri nifanyeje basi nisije nikakamatwa?
ushauri mzuri
Kwanza kabisa nawaombeni msamaha wana jamii wote wapenda amani kwa kitendo changu cha kuwaua kinadharia wazazi wangu hali wangali wazima. nililazimika kufanya hivyo ili niweze kupata mkopo asilimia mia kwani hali za wazazi wangu ni dhoofili bin taabani hivyo nilichangamka na nikasajili vifo vya wazazi wangu na kupata death certificate toka RITA ili hali wenyewe wangali hai mpaka sasa na hivi ninavyoongea niko mwaka wa pili chuo kikuu kimojawapo hapa nchini napata mkopo asilimia mia na masomo na maisha yangu pamoja na wazazi wangu yanaenda vizuri kwani nikipata boom langu huwa nakata fungu nalituma kwa wazazi wangu ingawa kwa upande wa pili nikifikiria huwa na simanzi na huzuni. wana jf naombeni ushauri kwa kile nilichokifanya nawakilisha.
iyo ni sawa na commiting sueside mkuu
kula bata wewe!! acha mawazo uongo ni uongo tu hapo ni sawa na mimi ambae hua nadanganya naumwa kumbe sitaki kwenda shule!! punguza stress kisha piga pesa bhana
mi naamin ulikua unamaana kufanya hivyo kwaiyo kitu kitakachofata ni kumaliza chuo na kuwaeleza wazazi hope watakuelewa tu kama kweli walikwambia hawawezi afford chuo expensise huwa wanasema 'succes need sucrifice and things you ever do'
Kwanza kabisa nawaombeni msamaha wana jamii wote wapenda amani kwa kitendo changu cha kuwaua kinadharia wazazi wangu hali wangali wazima. nililazimika kufanya hivyo ili niweze kupata mkopo asilimia mia kwani hali za wazazi wangu ni dhoofili bin taabani hivyo nilichangamka na nikasajili vifo vya wazazi wangu na kupata death certificate toka RITA ili hali wenyewe wangali hai mpaka sasa na hivi ninavyoongea niko mwaka wa pili chuo kikuu kimojawapo hapa nchini napata mkopo asilimia mia na masomo na maisha yangu pamoja na wazazi wangu yanaenda vizuri kwani nikipata boom langu huwa nakata fungu nalituma kwa wazazi wangu ingawa kwa upande wa pili nikifikiria huwa na simanzi na huzuni. wana jf naombeni ushauri kwa kile nilichokifanya nawakilisha.
Tubu kwa Mungu wako kwanza maana ulianza kumuongopea yeye kisha ukawaongopea hlesb.