maskini NGASSA ;wish u nyc trip back to home

maskini NGASSA ;wish u nyc trip back to home

Mimi binafsi naona West ham ilikuwa ni testi ngumu kwa Mrisho. Kama wakala wake anaangalia hapa, namshauri angalie pia timu zilizopo kwenye madaraja ya chini, championship/coca cola na hata league one. Huku anaweza kujitengenezea jina halafu timu kubwa zikamchukua!! Mwanzo mgumu ila "Usikate tamaa Mrisho"-at least umejaribu!!
 
Kana Ka nsungu lazima afurahi......unajua kuna watu wana midomo mibaya wakiongea kitu unapata nuksi......

Wee dogo naona unataka utimize hiyo goal yako ya 2010 kwangu, kwa taariifa yako am a bloke, not gay na nimeshaoa. Nilichosema wakati hii issue ya Ngasa ilipoletwa hapa hakikuwa na chembe yoyote ya chuki wala wivu, nilitoa facts ambazo naamini wewe pamoja na wengine humu walikuwa hawazifahamu, sasa badala ya kunishukuru kwa kukupanua upeo wako mdogo unasema nina mdomo mbaya! Ningependa kuona mtanzania akiwa kwenye PL na ingekuwa vizuri kama Ngasa angetufungulia pazia, najua vitiketi vya complimentary vya kuona games visingenipitia mbali na hata ingetokea nikakwama nauli- najua mdogo wetu huyo kama angekuwa anavuta £60,000 kwa wiki asingeona uvivu kunikatia ka £600 nikapande ndege nirudi home! Sikuwa na sababu ya kumuombea baya lolote.

Turudi kwenye mada- Sio lazima Ngasa aanzie kucheza mpira hapa UK tena kwenye PL. Huyo agent wake ampeleke kwenye ligi ndogo kama za huko Scandinavia, uswisi, belgium, Greece, etc and if he is good enough naamini timu za hapa zitamfuata tu huko alipo na kumleta hapa. Asikate tamaa kwa kuwa PL is arguably the best league in the world na ingekuwa ni vigumu kwa mtanzania yeyote kwenda kufanya majaribio na kuchaguliwa kati ya wachezaji 20 waliokuwa wakifanya majaribio Upton Park, tusitake kuanzia juu.
 
Nyambui alishinda silver medal olyimpics za 1980 na Titus Simba (RIP) alishinda silver medal commonwealth games 1974.Na kwa sasa hivi,God willing,tutakuwa na shujaa mpya wa basketball Thabeet Hasheem.

BISHANGA,do not put nyambui and titus simba in the same bracket as filbert bayi-Bayi had a world record if i am not mistaken,and his consistency at the highest level was legendary.On Hasheem only time will tell,fingers crossed he could be the next best sportsman to come out of these shores
 
BISHANGA,do not put nyambui and titus simba in the same bracket as filbert bayi-Bayi had a world record if i am not mistaken,and his consistency at the highest level was legendary.On Hasheem only time will tell,fingers crossed he could be the next best sportsman to come out of these shores

Nyambui alivunja work record ya 5000m indoors.
 
gazet la mwananchi leo wameandika kaongezewa mda wa wiki moja ndan ya timu A ya west ham
 
Huyu kijana bado ana nafasi bado ya wiki moja mbele mmesha anza kumkatisha tamaa wabongo bana kama kawaida yenu.
 
Mrisho, it is not end of the world. Keep trying and there will come a day people will pay a lot just to see you playing.
 
Mrisho, it is not end of the world. Keep trying and there will come a day people will pay a lot just to see you playing.

Ngasa bado ana nafasi ya kufanikiwa kucheza Ulaya sio lazima Uingereza. Ni jukumu la mawakala kuangalia na kufanya tathmini kwa makini wapi bidhaa yake itapata soko. Honestly speaking Ngasa bado hajafikia kucheza PL. Despite his skills/talent but he is still raw, he needs more time in minor leagues (Swiss, Belgium etc) before pushing/shoving and rubbing shoulders with the likes of Fabrigas.
 
Techique - Tick
Insight - Poor
Personality - Sijui
Speed - Tick.

The guy has great potential. Nilikuwa sija-comment chochote maana nilikuwa sijamwona. Ila kuna video tatu nimeziona you-tube, jamaa anacheza kama winger, tatizo zile cross zake hazi-target vizuri centre-forward. Lakini hiyo ni ishu ya mazoezi tu. Hata Ronaldo cross zake zilikuwa mbovu miaka michache iliyopita.
Ila mbona mimi naona dingi yake (Khalfan Ngassa) alikuwa mkali zaidi (especially finishing touch/pass)? So nashangaa kama huyu ndio mchezaji mkali Tanzania. Aliyeweka video zake youtube hamtendei haki. Zinamfanya aonekane mchezaji wa kawaida.
Ila anaonyesha ana skill, nguvu (balance) na speed.......Yaani misingi mizuri sana ya kufanikiwa. I hope he does well!!
 
West Ham ni saba kwenye msimamo wa Ligi ya Uingereza, that is too much to ask from Mrisho Ngasa to play for that club.
 
gazet la mwananchi leo wameandika kaongezewa mda wa wiki moja ndan ya timu A ya west ham

UNAWAJUA MWANANCHI VIZURI??
 
West Ham ni saba kwenye msimamo wa Ligi ya Uingereza, that is too much to ask from Mrisho Ngasa to play for that club

MKUU MASAKI Y???
 
Ngasa kurejea Nyumbani Kesho
April 24, 2009
Mshambuliaji mahili wa Timu ya Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, anatarajiwa kurejea Tanzania kesho jioni akitokea Uingereza ambako alifanyiwa majaribio na Timu ya West Ham united.


Habari za uhakika nilizozipata toka kwa afisa husika wa kuratibu zoezi zima la wachezaji wapya ndani ya West ham, zinabainisha hivyo, na kuwa leo joni ataagwa rasmi na jopo la makocha waliokuwa wakimuangalia pamoja na wachezaji wengine. baada ya kufanya mahojiano na afisa huyo, kwa njia ya simu muda mfupi uliopita.( 11:20 am.24.04.09.Ijumaa)

Jioni ya leo Ngasa ataelezwa hatima yake, ataambiwa " Umejitahidi sana, pia umeonyesha kiwango kizuri cha Nidhamu ya hali ya juu, tunaimani ukiendelea na ari hii, kuna kila dalili kuwa huko mbeleni utafanikiwa katika suala zima la kupata Timu bora, ataendelea kuambiwa, umeonyesha kuwa katika Tanzania kuna vipaji vingi ambavyo kwa kushirikiana na wakala wako, iko siku tukawa na mchezaji kutoka Tanzania, hivyo tunakutakia kila la kheri na safari njema".

Kwa watanzania hili ni jambo jema, ni imani yetu huko mbeleni tutatumia uwakilishi mzuri wa Ngasa.

Kutoka,

Tanzania Sports - TanzaniaSports.com
 
Wakala wake aliyesafiri naye hadi huko UK ndiyo atatuthibitishia hatima yake.Au kama kuna taarifa za Gianfranco Zola mwenyewe ni sawa na siyo vinginevyo.
Katika suala hili zilivumishwa habari tofauti tofauti na baadaye zilikanushwa baada ya kuonekana hazina ukweli wowote.
 
Inakuwa vp ngasa akipata deal? Naamini atakuwa amefungua mlango kwa wanandinga wengine wa kibongo,ol ze best Ngasa Mrisho!!!!!!!!!!!!!!1
 
Wachezaji wetu wanakimbilia kutest ligi ya uingereza,Kww nini wasijalibu huko France?hata ukifatilia kina drogba na wengineo wengi wa afrika magaribi waliaza france au Turkey.
Ni vigumu sana kwa mchezaji kutoka ligi ya nyumbani Tz kucheza EPL.Si tunamkumbuka Nonda safari yake ilikua ndefu sana mpaka kucheza EPL.
Kwa mawazo yangu hawa wanaowatafutia timu wajaribu kufikiria hilo sio kukimbilia EPL ni sawa na kumchukua mtoto wa darasa la saba akafanye mtihani wa form 4
 
Ilisemekana Ngassa ameambiwa aende Bongo akakue kimo then arudi England July, vipi mbona kimya? au mwili umegoma kukua?
 
Back
Top Bottom