Maskini Roma pole kaka ugau pole

Maskini Roma pole kaka ugau pole

Utu ni jambo la busara zaid ya chochote, roho mbaya kwa wenzio si jambo jema sisi sote ni binadamu mbali na tofauti zetu za kiiman , kisiasa nk lakin sote tu watoto wa mtu mmoja kiimani ,tusikose utu kiasi hiki kwa sababu tu ya tofaut zetu za siasa

ukifiwa au ukifa wewe mwenyewe utasaidiwa kuchimba kaburi na watu wa vyama vyote na dini zote na utazikwa na umoja huo bila kujali vyama vyao, jamii utakayo iacha italelewa na walio baki na hujui ni nani ataisaidi jamii yako huenda wewe bado ni mtoto huyajui maisha yako ya kesho endelea kukua utajua kuwa katika maisha hakuna aliye wamuhimu zaid ya wengine bali binadamu tunategemeana kutokana na mazingira yetu ya maisha.

Uzima huo ulio nao usikupe kiburi cha kutoona umuhimu wa maisha ya wengine tambua walio kuwepo kabla yetu hawapo sasa na hatujui huko waliko maana kifo ni siri ya maiti jiwekee hazina ya mema dunian.
Salute..!
 
Kuna wajinga humu walikuja na kusema eti alijiteka , yaan watanzania sijui tuna laana gani yaani vichwani mwetu sijui tumejaza vitu gani maana hatuna uwezo mzuri kufikir
Watu wapo huru kufikiria vyovyote vile waonavyo. As long as Roma mwenyewe aliamua kuwafichia siri watesi wake. People do speculate in both directions negatively and positively
 
Watu wapo huru kufikiria vyovyote vile waonavyo. As long as Roma mwenyewe aliamua kuwafichia siri watesi wake. People do speculate in both directions negatively and positively
Mkuu nakuomba uamini kwamba ROMA bado ni mateka mpaka sasa alitekwa mwili akaachwa huru kuotoka mateka ya mwili lakin sasa ni mateka wa nafsi na kinywa tusimlaumu tutumia vichwa vyetu kulitafakari hilo
 
Mkuu nakuomba uamini kwamba ROMA bado ni mateka mpaka sasa alitekwa mwili akaachwa huru kuotoka mateka ya mwili lakin sasa ni mateka wa nafsi na kinywa tusimlaumu tutumia vichwa vyetu kulitafakari hilo
Anaogopa kifo????
 
Nay wa mitego amuombe msamaha..alimdhalilisha sana mwana!
Nay anajifanya mjuaji sana..Namshauri kuna mambo ya kuropoka na kuna mambo ya kufikirisha akili kwanza kabla ya kupanua domo!!pili apunguze misifa,hajui amemiharibia kiasi gani mwenzake ROMA..
 
"..sadism is inevitable when the situation is alarming.." By col. Ngemela Lubinga, sometimes the executive has to use sadistic way of neutralizing some issues!! hii ni kawaida kwa taifa lolote
 
Kuna wajinga humu walikuja na kusema eti alijiteka , yaan watanzania sijui tuna laana gani yaani vichwani mwetu sijui tumejaza vitu gani maana hatuna uwezo mzuri kufikir
Movie ya bashite,diamond, babu tale.roma na wenzake
 
"..sadism is inevitable when the situation is alarming.." By col. Ngemela Lubinga, sometimes the executive has to use sadistic way of neutralizing some issues!! hii ni kawaida kwa taifa lolote
I wish you would have been the victim.
 
Roma sio kijana shujaa, ningetekwa mimi habari ingekuwa tofauti leo hii. Katulisha matango pori kwenye nyimbo zake kumbe hafuati philosophy ya maneno anayoimba. Mimi nina Rebel kind of thinking, nisingekubali kukaa kimya ningesema ukweli ili Ulimwengu ujue. In other way, watu wana haki ya kuhoji kama kanunuliwa au vipi.
 
Back
Top Bottom