Maskini Ukraine! Kila wakijenga wabomolewa

Maskini Ukraine! Kila wakijenga wabomolewa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita vya Ukraine vimeingia hatua nyengine. Hatua hii ni mrusi kuvunja na kubomoa vituo vya maji na umeme nchi nzima katika kipindi cha baridi.

Katika mashambulio ya leo ambayo Ukraine waliyatabiri kutokea japo hawakuweza kuyazuia inasemekana kuwa makombora 60 kati ya 70 yaliyovurumishwa Kyiv na miji mingine yalidondoshwa na jeshi kali la Ukraine.

Pamoja na hivyo hayo yaliyofikia shabaha yake yameleta hasra kubwa na meya wa Kyiv amesema kukata umeme ni jambo la lazima japo waliweza kurudisha huduma kisasi tangu mahambulio mengine kama haya wiki iliyopita.
 
Ushindi mkubwa kwa Ukraine ni kuigeuza operation ya saa 72 ya kuwaondoa wanazimamboleo kuwa vita ya muda mrefu [emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Aibu kubwa kwao ni kutoka kuwa taifa tajiri mpaka kuwa taifa omba omba na taifa lalamishi. Siku watuj wa kyiv wakishtuka kama wa wachina basi Zelensky hatakuwa na wa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
LGBTQ wame kula chakula sawa na [emoji240] na [emoji250] source BBC swahili
20221206_215955.jpg
 
Back
Top Bottom