mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Hatimaye yametimia Wakimataifa wetu hawana nafasi tena katika michuano ya CAF mwaka huu. Yanga mashindano haya ni makubwa na magumu yanahitaji kujipanga kujiandaa kwani mpira ni taaluma sio kupiga kelele kwenye Magazeti.
Nadhani mmevuna makelele yenu. Karibu Ligi ya Nyumbani .
Nadhani mmevuna makelele yenu. Karibu Ligi ya Nyumbani .