valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,852
- 873
bado sijampata mpendwa vipi wewe?Halafu mbona haujajibu swali langu?
hayo maneno yako ni yakwelikula utakula... Ila utakula nini?unaweza wahi olewa, ndoa ikawa kero bin balaa.
Usiogope kuchelewa kuolewa, huenda Mungu anakuandali your better half.
kwa mimi lazima niolewe maisha bila mume siyawezi naninakiri nimeshindwa na sitaweza, nanikiolewa nitamnyekea mume wanguNimefika huko kwa sababu ndiko uendako.....lazima ujue uendako....kwa nini unadhani, seriously, ni LAZIMA uolewe?
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
THE FUTURE BELONGS TO THOSE WHO PREPARE FOR IT TO DAY . Kwa zamani sio kwaUsijali wangu,ukiona hivyo ujue anae kufaa maishan bado hajafika,we endelea kumuomba mungu atakusaidia, af angalia system nzima ya maisha yako iko vp cse kwa me nnavyo faham kuolewa kwa mwana dada kunategemeana jinsi ambavyo ye amejiweka tangu mwanzo, thats why kuna msemo unasema "THE FUTURE BELONGS TO THOSE WHO PREPARE FOR IT TO DAY" Yan kesho inategemeana na leo.
hongera kwakumpata mwenza, ungejua vile nilivyo social asikwambie mtu, mie ni mcheshi niko simple siringi wala sijidai yaani mie mtu wawatu, ila hili tatizo linataka kunibadilisha tabiaDada am sure upo kama unavyosema but it can not hurt you if you take a real look at yourself again.
Kwa mfano mimi nina sifa karibu na zako na nikawa nashangaa sipati mchumba,kumbe sababu i was too independent woman and over confident kumbe nilikuwa naweza sura ya u serious hadi wanaume wakawa wananiogopa na kunitamani kwa nje tu.
Hadi siku best yangu akaniambia hivi unajua wakaka wengi wanapenda ulivyo ila wanakuogopa cz we maneno mawili tu umemaliza kuongea.
So toka hapo nikajiweka more friendly and approchable in a good way .
Sasa am 31 and soon to be married with 2 month pregnant
hongera kwakumpata mwenza, ungejua vile nilivyo social asikwambie mtu, mie ni mcheshi niko simple siringi wala sijidai yaani mie mtu wawatu, ila hili tatizo linataka kunibadilisha tabia
maana najiona kama nimenyimwa haki yangu
Tatizo langu mie nimeshaligundua, kuna mtu alinipm nakunidiscuss na mimi hili tatizo, kitu alichokigundua ni uchaguzi wangu wa wanaume namimi nimekubali mara zote nakua niko kwenye wrong choice nami nachelewa kugundua pale napogundua nakua nimeshapoteza mudaAu labda utuelezee ukiwa na bfriend huwa mambo yanaendaje,how you behave ,how he behave,na labda bfriend wako wa mwisho ilikuwaje mkaachana,au labda x bfriends zako huwa wanakupa sababu gani za kukuacha.
''May be ur too much of a good girl and boring''
Mhhhhh!!!!!!bado sijampata mpendwa vipi wewe?
Mhhhhh!!!!!!
Tuambie jina anaitwa nani au ni The Finest nini maana nasikia ndio anadatisha wadada humuJama jama jama! kuna njemba moja imejitokeza inataka tuoane sasa tatizo langu bado sijamuamini nifanyaje wapendwa bado sijamuamini
jina namuhifadhi atajua nikimtaja, hayupo kwenye jf ila anasomaga kakuta thred yangu ndio akajikonect nakunipm ndio maswala mengine yakafuatia.Tuambie jina anaitwa nani au ni The Finest nini maana nasikia ndio anadatisha wadada humu
Jama jama jama! kuna njemba moja imejitokeza inataka tuoane sasa tatizo langu bado sijamuamini nifanyaje wapendwa bado sijamuamini