Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
chukua magadi kilo tano changanya na pilipili kichaa nusu kilo,weka maharage yaliyo kwisha pikwa chini ya mvungu wa kitanda kwa muda wa wiki kisha changanya vyote uoge.......hiyo ni dawa ya kuvuta nyota ya kwako iko mbali sana.
Kudadeki..hata kombe la babu mwasapile cha mtoto katika hii...chonde usije ukawa Albino tu...!!