Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Coco beach wamevamiwa Usiku wa manane wakaporwa Mali zao, coco na makao Makuu ya nchi SIYO mbali lakini wajasiriamali awakupata msaada wa dola na serikali.
Arusha wamenyang'anywa vitu mbalimbali, hakuna Mbunge Wala Diwani wakuwasemea. Wajasiriamali wamekosa mtetezi.
Huko Zanzibar wanaondolewa ufukweni kupisha wawekezaji, wajasiriamali mmekosa nini.
Karume soko likaungua wakapigwa mabomu, kwanini tusizungumze nao? Kwanini tunaamini nguvu ya dola italiinua Taifa?Tunajua wanafamilia?
Arusha wamenyang'anywa vitu mbalimbali, hakuna Mbunge Wala Diwani wakuwasemea. Wajasiriamali wamekosa mtetezi.
Huko Zanzibar wanaondolewa ufukweni kupisha wawekezaji, wajasiriamali mmekosa nini.
Karume soko likaungua wakapigwa mabomu, kwanini tusizungumze nao? Kwanini tunaamini nguvu ya dola italiinua Taifa?Tunajua wanafamilia?