Tetesi: Maskini Zari......πŸ™ŒπŸ™Œ

Huyu kama mwanaume basi mtaani kwao anavunishwa mboga ya mchicha.



NdukiiiiiπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Katika mitandao iliyonishanda ni pamoja na huo inst .yaani uko kishambenga shambenga sana
 
Tatizo sio post,tatizo mtoa post. Ndo tatizo lenu humu jf. Mna double standards sana,,,hapo angekua mtu fulani ndo kapost,wee mngekanyagana kuwahi kucomentπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
verified account can be hacked so easy ivyo kweli? nauliza tu jaman [emoji23] maan hawa ni watu wa makick sana
 
Na Hawa ndio wanaume Wa dar,wakimwendokasi. Si wengine Wa mikoani hatutaki masikhara
 
Daaaaaaah why jamani zari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…