Maslahi duni ya Walimu: Waziri wa Elimu na wa TAMISEMI wanafanya nini ofisini?

Maslahi duni ya Walimu: Waziri wa Elimu na wa TAMISEMI wanafanya nini ofisini?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Elimu inazidi kudharauliwa na walimu pia. Ile ni profffession Kama zilivyo nyingine. Unakuta mwalimu ana degree lakini hizi English medium analipwa laki mbili. Hivi kwe hii si kuandermine profffession?

Kwa Nini waziri asishikilie Sheria kwamba Kuna minimum and maximum wage or salary.

Kwenye afya nako Ni hivyo hivyo Kuna daktari namjua amemaliza muhimbjli pale analipwa laki nne hospitali hapa dar. Sasa hawa mawaziri wanafanya kazi gani Kama hawawezi kushughulikia matatizo haya?
 
Mwalimu ndio unataka kutoa machozi kabisa?

Sasa tumekusikia unaweza zungumza English vizuri
 
Haiwezekani kupanga Bei ya kulipa walimu wakati ada ya mwanafunzi hipangi serikali, hiyo ni biashara huria.
 
Kwa hali halisi ya maisha yalivyo sasa, ni bora kujiajiri kuliko kuajiriwa.
 
Law of demand and supply inakua aplaidi hapo.
 
Shule ni biashara huria... Yote yanayofanyika pale ni kwa ajili ya ku minimize cost na ku maxmize profit... Na sio huduma ya jamii kama tunavoaminishwa... It is a business...

Pili hospital private nazo ni the same....

So kama unaona Degree yako mali,,, itumie kuanzisha shule yako na wewe....

Mshahara unaotakiwa kuupigia kelele ni wa public sector na sio private...

Siku ukifanya biashara na ukaajiri watu ndio utajua nini nimekizungumza... It's not easy.

Acha mawaziri wale kwa urefu wa kamba zao... Na Rais kasema hatoi Ajira...
 
Elimu inazidi kudharauliwa na walimu pia. Ile ni profffession Kama zilivyo nyingine. Unakuta mwalimu ana degree lakini hizi English medium analipwa laki mbili. Hivi kwe hii si kuandermine profffession?

Kwa Nini waziri asishikilie Sheria kwamba Kuna minimum and maximum wage or salary.

Kwenye afya nako Ni hivyo hivyo Kuna daktari namjua amemaliza muhimbjli pale analipwa laki nne hospitali hapa dar. Sasa hawa mawaziri wanafanya kazi gani Kama hawawezi kushughulikia matatizo haya?
Kama umri unaruhusu kopa hela kasome kitu kingine ukimaliza fanya transfer. Ukisubiri maslahi mazuri kwa walimu utazeeka masikini. Walimu ni wengi karibia nusu ya watumishi wote nchini. Ukisema hata uwape house allowance ya laki 2 bujeti yake ni kubwa.
 
Kama umri unaruhusu kopa hela kasome kitu kingine ukimaliza fanya transfer. Ukisubiri maslahi mazuri kwa walimu utazeeka masikini. Walimu ni wengi karibia nusu ya watumishi wote nchini. Ukisema hata uwape house allowance ya laki 2 bujeti yake ni kubwa.
Cha msingi ni kufikiria nje ya box tu hamna namna, Program yoyote atakayeenda kusoma kuna utitiri wa graduates mtaani.


Nakubaliana na hoja ya wingi wa walimu, walimu ni wengi sana kiasi kwamba hata wakitaka kuongeza kamshahara wanakuta gharama ni kubwa sana, mwisho wanaamua kumute tu.

Pia kuna kada nyingine wanalipwa mishahara mbuzi sema kwa kuwa hawako wengi, kelele zinakuwa sio nyingi
 
Weka katiba mpya ambayo itasema mbunge atalipwa sawa na mwalimu huku ukiwa mbunge sijui nesi watoto wako watasoma shule za serikali kama hutaki acha ubunge
 
mbunge anatoka katika jimbo lake amablo wanafunzi wanajisaidia katika chooo cha kuchimba kisicho na mfuniko halalamiki! posho kwa secta za umma na serikalini zifyekwe sana mpaka miradi muhimu itimizwe. kaangalie hali mbaya ya choo cha shule ya msingi,mbawala mtwara, Ichenjezya mbozi na buzeba zeba kigoma dooo hata nyoka hasogei!hizi posho za millage allowance, travelling, tender comittee na house allowance imulikwe sana ili serikali ipate pato la kulea walimu na watoto wetu mashuleni .halafu X-mass gifts kwa mabosi na boddy members nazo serikali izitazame na kuzifyeka.. Xmass gifts zinafilisi sekta za umma!
 
Elimu inazidi kudharauliwa na walimu pia. Ile ni profffession Kama zilivyo nyingine. Unakuta mwalimu ana degree lakini hizi English medium analipwa laki mbili. Hivi kwe hii si kuandermine profffession?

Kwa Nini waziri asishikilie Sheria kwamba Kuna minimum and maximum wage or salary.

Kwenye afya nako Ni hivyo hivyo Kuna daktari namjua amemaliza muhimbjli pale analipwa laki nne hospitali hapa dar. Sasa hawa mawaziri wanafanya kazi gani Kama hawawezi kushughulikwaia matatizo haya?
Tatizo la msingi hapa ni moja nalo nikuwa serikali haijapandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa muda mrefu sasa huko Private wanapandishaje
 
Elimu inazidi kudharauliwa na walimu pia. Ile ni profffession Kama zilivyo nyingine. Unakuta mwalimu ana degree lakini hizi English medium analipwa laki mbili. Hivi kwe hii si kuandermine profffession?

Kwa Nini waziri asishikilie Sheria kwamba Kuna minimum and maximum wage or salary.

Kwenye afya nako Ni hivyo hivyo Kuna daktari namjua amemaliza muhimbjli pale analipwa laki nne hospitali hapa dar. Sasa hawa mawaziri wanafanya kazi gani Kama hawawezi kushughulikia matatizo haya?
Hio Kazi NDugu umelazimishwa, tatizo unajua supply and demand zinavyo control Bei ndugu msomi.kuna mwingne Yuko mtaani muda huu hana hta ujiraWa 30000 Kwa mwezi. Tumia HYo English medium kama daraja ya kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom