Maslahi madogo Clouds yamtoa Ruby Fiesta

Tamasha gani wasanii wanapakiwa kwenye coasta utazani wanaenda depo jkt
 
Hayo unayasema wewe , muda utaongea kama kweli jukwaa na ruby nani anamuhitaji mwenzie maswala ya kupewa promo kisha unyimwe uhuru wako yamepitwa na wakati.
Ikiwa hutaki kuukubali ukweli mdogo kama huo sidhani kama umeshakubali kuwa, si kwamba ni jua ndilo linazunguka/temebea toka mashariki kuelekea magharibi bali ni dunia ndiyo inayojizungusha toka magharibi kuelekea mashariki!!
 
Ikiwa hutaki kuukubali ukweli mdogo kama huo sidhani kama umeshakubali kuwa, si kwamba ni jua ndilo linazunguka/temebea toka mashariki kuelekea magharibi bali ni dunia ndiyo inayojizungusha toka magharibi kuelekea mashariki!!
Hata uzushi unakikomo cha kuamini huwezi singiziwa kila siku kiyu hikohiko basi kuna tatizo
 
Sasa lakini jide si alikuwa tayar legend wakati analiamsha beef na clouds sasa ruby hata hit kumi hazijafika na wala nyimbo zake hazifiki hata 20
We unasema 20 za kwake mwenyewe hata 5 hajafikisha na hit ni moja tu "na yule" na wimbo wenyewe umekuzwa na clouds,
 
Uthubutu upi? Huo wa kusaini mkataba huku ukipiga vigelegele hadi una-post Instagram kwa mbwembwe zote halafu baadae unageuka ndo unasema ujasiri?! Ni nani anataka kufanya kazi na mtu asiyeheshimu makubaliano?!
Hakajielewi hako ka Ruby
 
Hakuna kitu kizuri kama kuchagua vita... Jide hakuanza vita wiki ya pili au mwaka wa kwanza wa career yake, she established her base before starting the fights

Huyu dada kuna washauri wanamdanganya
Mimi niliisema hii Mwanzo huyo Ana wale wapambe nuksi wasomtakia mema katika maisha , halaf ukiangalia yeye katokea fiesta super diva hii angeifanya Kama shukrani kwa clous
 
Si ndo huyu alokuwa anajinadi kwenye kipindi cha Sporah mwaka jana kuwa Ruge ni zaid ya baba kwake!?
 
Ukishindwa kujivalue wewe,unadhani nani atakuvalue?yeye anajiona hilo dau halimtosh sasa ulitaka apande jukwaani bila maslah anayoyataka?
Kwann alisaini mkataba? Na pia anaonekana so excited , kwan kwenye huo mkataba hakukuwa na kipengere cha malipo, kubali kwamba huyo super diva wenu amebugi afu hajiamin na siku zote MTU anayependa kuongozwa na wapambe mwisho huwa ni wa mashaka, [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
atafungwaje mtu akati mkataba wagafla gafla mbele ya media ila kiukweli huy mwanamke kakosea sana sijui kama anajua gharama mpaka msanii akatoka ayo yote clouds wamemfanyia hakuna chabule angekubali kulipa fadhira
Haswaaa, tena angezunguka bure Kama shukrani

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
swala sio kutetea maslai yake ilibidi arudishe fadhira ametolewa bure vijana wangap wapo mtaani wanavipaji lakini hawana nafasi ya kuonekana pesa aliyokataa rub ni kubwa sana ni laki 8 sijajua kwa mkoa mmoja au yote
Mburura huyo
 
Mkiendelea kuwapiga vita kama hivi wataacha huu ujinga wao,halafu utakuta wengine ni watu wazima kabisa,halafu wanaandika namna hiyo.
Yaani acha tu unakuta mtu we unachat vizur yeye anakuletea lugha za kishoga Mara "p", K", xaxa[emoji57] [emoji35] [emoji35]
 
Daah umeongea yote mkuu, wasipokuelewa wakapimwe [emoji125][emoji125]
 
Naomba kuuliza? Hivi kasema anaachana na Clouds au ni Fiesta? Maana naona watu tumesharukia kuwa ana bifu na Clouds.
Au ndo ukikataa fiesta ni automatically una achana na Clouds?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…