Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
mpira sio burudani tu, ni ajira yenye maslahi kiuchumi.
Kijana wetu kafanikiwa kutinga huko ulaya na kweli anatoa burudani safi ila tatizo ni hapa kwenye maslahi.
Wengi wakisikia analipwa milioni 40 kwa mwezi wanaona ni nyingi sana ila ni mshahara mdgogo ama wa kawaida mnoo katika soka la kulipwa barani ulaya,
Pengine akisogea ligi za uingereza ambako wengi wamekejeli kwamba atakosa namba aua timu zinazomtaka hazishiriki uefa ama europa, yawezekana ikawa ni neema tosha wndapo akihamia hizo timu ambazo zinaweza kumlipa vizuri zaidi akawa kwenye levo zinazokaribia na wachezaji wa kawaida kama kina wanyama wanavuta milioni 200 hivi kwa wiki
Kijana umri unaenda, kwa sasa ana miaka 27 kabakiza miaka micjache ya kuwa katika standard nzuri kwenye soko .
Je ni muda muafaka wa kijana kwenda ligi za england ili apambanie maslahi???
Kijana wetu kafanikiwa kutinga huko ulaya na kweli anatoa burudani safi ila tatizo ni hapa kwenye maslahi.
Wengi wakisikia analipwa milioni 40 kwa mwezi wanaona ni nyingi sana ila ni mshahara mdgogo ama wa kawaida mnoo katika soka la kulipwa barani ulaya,
Pengine akisogea ligi za uingereza ambako wengi wamekejeli kwamba atakosa namba aua timu zinazomtaka hazishiriki uefa ama europa, yawezekana ikawa ni neema tosha wndapo akihamia hizo timu ambazo zinaweza kumlipa vizuri zaidi akawa kwenye levo zinazokaribia na wachezaji wa kawaida kama kina wanyama wanavuta milioni 200 hivi kwa wiki
Kijana umri unaenda, kwa sasa ana miaka 27 kabakiza miaka micjache ya kuwa katika standard nzuri kwenye soko .
Je ni muda muafaka wa kijana kwenda ligi za england ili apambanie maslahi???