stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Wakaishia kuvaa viraka, na kujipaka mafuta ya kupikia.
Chadema imepokea zuruku kiasi gan? mmeishia wap na ruzuku zenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakaishia kuvaa viraka, na kujipaka mafuta ya kupikia.
Chadema imepokea zuruku kiasi gan? mmeishia wap na ruzuku zenu?
Tuna utawala mbovu sn kuwahi kutokeaMaslahi ya kisiasa kwa kikundi kidogo cha CCM sio sawa. Taifa hili limejaa watu wenye uhitaji. Hizi propaganda za kutuaminisha kuwa Tanzania haina uhitaji wa misaada ilihali uhalisia wa raia wa Tanzania wanahihitaji hii misaada sio sawa hata kidogo. Viongozi acheni kuwadhulumu watanzania kwa maslahi yenu ya kisiasa. Hawa watu ndio mnaodai mpo kwa ajili ya maendeleo yao. Maslahi yenu ya kisiasa yasiwe maumivu kwa raia wa nchi hii.
HAWA WATU NI WATUMBAFU!Ndio maana watu waliishi kama wanyama,
Watu walikuwa hawavai viatu, hawana nguo, Hakuna sukari ilikuwa Ni shida
CCM mmeamua turudi huko?
Wametumia kutoa elimu ya uraia.