Maslahi ya Tanzania DR Congo ni yapi?

Maslahi ya Tanzania DR Congo ni yapi?

Maslahi ya Tanzania hapo Congo ni yapi?

Rwanda inafahamika maslahi yake hapo Congo sisi wengine tunapeleka Congo vijana wetu kwenda kufia wacongo kwa maslahi yapi kama taifa?

Hii ni dunia ya kibepari isiyotaka maamuzi ya kijamaa hivyo ni vyema tukajua tunaenda kupambania nini Congo?

Bila hivyo itakuwa vitaa kichaa tunapigana

Hivyo ni umuhimu kujua maslahi ya Tanzania kama nchi hapo Congo mpaka kupeleka jeshi letu ni yapi?

PIA SOMA
- Je, ni sahihi Tanzania kuendelea na uhusiano wa kawaida na Rwanda wakati tuko vitani na nchi hiyo DR Congo?
Tumekusikia mnyarwanda. Ila tambua damu za wakongo wanaokufa bila hatia zinawalilia. Mnatumwa na mmarekani kuchota dhahabu na madini mengine, wanawapa silaha, muue wasio na hatia. Shame on you.
 
Congo inaweza kuwa ndiye mteja mkubwa zaidi wa bandari ya Dar es Salaam.
Aha uongo.

Jiografia ya Congo haiifanyi nchi hiyo kutegmemea bandari ya DSM pekee. upande wa Mashariki pia wanategemea bandafi ya Mombasa. Upande wa kusini magharibi wana bandari yao kule Atlantic ocean.

Pia kuna reli ya Lobito inatokea Angola na US ametia nguvu pale hiyo reli itategemewa mpaka na Zambia.

Hivyo Tanzania hatuna maskahi makubwa Congo. Halafu yeyote atakayetawala mashariki tena ikiwa watafanikiwa kujitenga atategemea zaidi Mombasa na Dsm.
 
Jamhuroi ya kidemokrasia ya Congo kusipokalika, wakongo watakimbilia kigoma Tanzania na kusababisha wimbi la wakimbizi
 
Inaweza

Huyu mpuuzi ana hii project ni hasara kubwa kwetu na kwa hiyo bandari unayo izungumzia hapa

The Lobito Atlantic Railway (LAR) is a joint venture, operating trains along the Benguela railway corridor from the coast of Angola into the Democratic Republic of Congo.
View attachment 3218858
Hiyo bandari haiwezi kuitisha ya Dar kwa mizigo ya DRC.
 
Tumekusikia mnyarwanda. Ila tambua damu za wakongo wanaokufa bila hatia zinawalilia. Mnatumwa na mmarekani kuchota dhahabu na madini mengine, wanawapa silaha, muue wasio na hatia. Shame on you.
Wewe ni mpumbavu.
 
1: congo ni mteja mmubwa wa bandari yetu
2: congo ni jirani yetu
3: ni wanafamilia wa SADC
 
Maslahi ya Tanzania hapo Congo ni yapi?

Rwanda inafahamika maslahi yake hapo Congo sisi wengine tunapeleka Congo vijana wetu kwenda kufia wacongo kwa maslahi yapi kama taifa?

Hii ni dunia ya kibepari isiyotaka maamuzi ya kijamaa hivyo ni vyema tukajua tunaenda kupambania nini Congo?

Bila hivyo itakuwa vitaa kichaa tunapigana

Hivyo ni umuhimu kujua maslahi ya Tanzania kama nchi hapo Congo mpaka kupeleka jeshi letu ni yapi?

PIA SOMA
- Je, ni sahihi Tanzania kuendelea na uhusiano wa kawaida na Rwanda wakati tuko vitani na nchi hiyo DR Congo?
Mengi tu. Usalama
Usafirishaji
Soko
Ujirani mwema
Matapeli wa kieoho
Burdening ya ndombolo
Uchafuzi wa mila
Wakimbizi
Udugu
Nk.
 
Aha uongo.

Jiografia ya Congo haiifanyi nchi hiyo kutegmemea bandari ya DSM pekee. upande wa Mashariki pia wanategemea bandafi ya Mombasa. Upande wa kusini magharibi wana bandari yao kule Atlantic ocean.

Pia kuna reli ya Lobito inatokea Angola na US ametia nguvu pale hiyo reli itategemewa mpaka na Zambia.

Hivyo Tanzania hatuna maskahi makubwa Congo. Halafu yeyote atakayetawala mashariki tena ikiwa watafanikiwa kujitenga atategemea zaidi Mombasa na Dsm.
Sielewi hata na vitu gani umeandika hapa,
Kuna mahali nimesema Congo inategemea bandari ya Dar es Salaam peke yake??
 
Wewe ni mpumbavu.
Mnyarwanda hana ardhi Congo anayoidai. Hana haki ya kuua raia wa Congo kwa kisingizio chochote. Unyarwanda wako na mikakati ya kutawala Africa ya mashariki, kati na kusini kupitia Bahima empire program ni uovu na ushetani tu.
 
Congo ni mbia wa maendeleo anatumia bandari yetu,pia kuwahakikishia usalama watz waishio Congo na mipakani .
Congo ni mnunuzi mkubwa wa chakula Toka kwa wakulima na wavuvi wetu lazima madereva wetu walindwe,nne kuepuka wimbi la wakimbizi kuingia nchini si unayajua madhara ya wahamiaji haramu na uhalifu nchini.
Congo ikitulia mapato yetu yataongezeka.
Dawa ni kuwafurusha hao m23; hadi kwa boss wao kigali
Kama hizi ndio akili za viongozi wa nchi hii, God help us
 
Mnyarwanda hana ardhi Congo anayoidai. Hana haki ya kuua raia wa Congo kwa kisingizio chochote. Unyarwanda wako na mikakati ya kutawala Africa ya mashariki, kati na kusini kupitia Bahima empire program ni uovu na ushetani tu.
Tulia wewe, Banyamurenge unayemuona mnyarwanda anaipenda Congo na ni mcongo halisi kuliko wewe na akili zako zilizojaa matope, go educate yourself
 
M
Inategemea uko Tanzania upande gani, na hata DRC inatagemea uko upande gani, Congo ni kubwa mara mbili na nusu zaidi ya Tanzania.
Mfano kunawafanyabiashara nawafahamu Huwa wanapitisha mizigo Yao bandari ya Dar lakini biashara zao zote wanafanyia Dar.wanasema Bora kupitishia Mombasa kuliko Dar
 
Tulia wewe, Banyamurenge unayemuona mnyarwanda anaipenda Congo na ni mcongo halisi kuliko wewe na akili zako zilizojaa matope, go educate yourself
Kagame anakasirika nini South Africa kuisaidia Congo. Rwanda anapata wapi madini anayouza kimataifa wakati kwake hana migodi. Askari wa Rwanda wamefata nini Kongo. Damu za wakongo zitadumu kuwaliliankwa ajili ya uroho wenu wa mali. Ninyi ni wanyama.
 
Kama hizi ndio akili za viongozi wa nchi hii, God help us
Kwani hujui kama mizigo ya Congo inatusaidia kiuchumi kupitia bandaru na barabara. Na hujui wafanyabiashara wa Congo hufurika Dsm kununua bidhaa. Na hujui watamzani hupeleka bidhaa mbalimbali kupitia mipaka ya maji na nchi kavu. Huna uchungu na Tanzania/Tanganyika, wewe mnyarwanda. Unaandika matakataka.
 
Huyo ni mnyarwanda na mpango wao wa kuitawala Africa kupitia mkakati wa Bahima empire. Wanyarwanda hasa watusi wanaamini wao ni superior na special kuliko watu wengine wanaowaita wahutu.
Mtu kuamini yeye ni superior sio kosa.
 
Tanzania ni mwendawazimu.maana hakuna wanachonufaika zaidi ya kupoteza wanajeshi vitani.viya hiyo itamalizwa na wakongo wenyewe watakapoamua kumaliza tofauti zao ndani ya Nchi Yao na siyo kudingizia mataifa mengine ndiyo husababisha hiyo vita
Ni Kwa sabb hamjui yaliyomo yamo
 
Back
Top Bottom