connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
2025 Mbeya Mjini tunamchagua Rais wa Mabunge Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu. Mil 12 inatokana na mshahara ambao hauzidi 4mil + posho ambazo huwa hazina kodi.Huwezi kunielewa mzee ikiwa ulishakariri kuwa wanalipwa mil 12. Hiyo 12 mil huwa inamchanganuo wake, nilikuwaga nafahamu kama wewe hivyo mtu mmoja mhusika wa mjengoni akanielewesha
Kama mbunge hakatwi kodi kwenye mshahara wake, mimi ni nani nilipe kodi.Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:
1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni
NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Mbunge hapokei 13m kama mshahara,Mshahara 13m (haikatwi kodi) TSh, posho ya kikao 360,000 Kwa kila siku ya kikao), kiinua mgongo 400m TZS kila baada ya miaka mitano
Visa au passport?10. Diplomatic Visa
....Kazi Nzito ipi ? Kuunga Mkono Hoja za Serikali Kwa Kugonga Meza ???... [emoji35][emoji35]Ni ndogo sana ni uzalendo tu haiwatoshi kabisa.Wanafanya kazi nzito sana
...Upo Tanganyika hii ??...Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu
Mshahara ni mil3.8
Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...
Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)
Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000
Bima ya afya kubwa
Diplomatic Passport
Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi
Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
PassportVisa au passport?
Nipe justification ya kulipwa 360,000 per night wakati mtumishi wa serikali analipwa 80,000??? Night allowance lengo lake ni uweze kulipia lodge na kupata chakula sasa kwa nini ulipwe 360,000??Ni ndogo sana ni uzalendo tu haiwatoshi kabisa.Wanafanya kazi nzito sana
Kwa hiyo analipwa night allowance na sitting allowance pia?? Hiyo si ni double payment?Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu
Mshahara ni mil3.8
Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...
Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)
Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000
Bima ya afya kubwa
Diplomatic Passport
Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi
Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
Utajua wewe, usione watu hawaishi vilingeni kutaka kumaintain nafasi zao. Kuna mengi mnooo humoKwa hiyo analipwa night allowance na sitting allowance pia?? Hiyo si ni double payment?
Mabaya sanaa,hata iwapo unafikiri kujihusisha na sii hasa achana na wazo hilo🤣Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:
1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni
NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Vijana mkajiajiriMabaya sanaa,hata iwapo unafikiri kujihusisha na sii hasa athanasius na wazo hilo🤣
Tunapambana tujiajiri,ila usiache kutupa connection ndugu mbungeVijana mkajiajiri
Nina familia inanitegemea Ndugu mpiga kura. Jitahid kufanya ujasiriamali.Tunapambana tujiajiri,ila usiache kutupa connection ndugu mbunge
Sifa kuu ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika kiswahili( hata kama hukuwahi kuingia darasa la kwanza) ingawa sifa ya kuwa dereva anayefaa kumwendesha mbunge ni form four na leseni ya udereva.Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:
1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni
NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Mtaji ndugu mbuge🤔Nina familia inanitegemea Ndugu mpiga kura. Jitahid kufanya ujasiriamali.