Maslahi ya Wabunge Tanzania yapoje?

Maslahi ya Wabunge Tanzania yapoje?

Huwezi kunielewa mzee ikiwa ulishakariri kuwa wanalipwa mil 12. Hiyo 12 mil huwa inamchanganuo wake, nilikuwaga nafahamu kama wewe hivyo mtu mmoja mhusika wa mjengoni akanielewesha
Upo sahihi mkuu. Mil 12 inatokana na mshahara ambao hauzidi 4mil + posho ambazo huwa hazina kodi.

Na hili wameliweka kimkakati. Maana mshahara huwa na makato lukuki ila posho haina kodi wala makato.
 
Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:

1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni

NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Kama mbunge hakatwi kodi kwenye mshahara wake, mimi ni nani nilipe kodi.
TRA tutasumbuana sana.
 
Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu


Mshahara ni mil3.8

Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...

Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)

Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000

Bima ya afya kubwa

Diplomatic Passport

Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi

Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
...Upo Tanganyika hii ??...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Ni ndogo sana ni uzalendo tu haiwatoshi kabisa.Wanafanya kazi nzito sana
Nipe justification ya kulipwa 360,000 per night wakati mtumishi wa serikali analipwa 80,000??? Night allowance lengo lake ni uweze kulipia lodge na kupata chakula sasa kwa nini ulipwe 360,000??
 
Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu


Mshahara ni mil3.8

Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...

Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)

Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000

Bima ya afya kubwa

Diplomatic Passport

Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi

Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
Kwa hiyo analipwa night allowance na sitting allowance pia?? Hiyo si ni double payment?
 
Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:

1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni

NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Mabaya sanaa,hata iwapo unafikiri kujihusisha na sii hasa achana na wazo hilo🤣
 
Naomba nami nichukue fursa kuendeleza mjadala ulioanza Kwa mtoa mada mmoja siku za awali kuuliza Mwenye kujua maslahi ya hawa Waheshimiwa Wabunge Kwa sasa:

1. Mshahara mnono (bila Kodi)
2. Posho ya vikao
3. Mkopo wa gari
4. Posho ya dereva
5. Mfuko wa Jimbo
7. Bima ya matibabu nje ya nchi
8. Kiinua mgongo baada ya kumaliza Ubunge
9. Pesa ya mafuta ya gari la mbunge
10. Posho vikao vya kamati
11. Posho ziara kwenye miradi, taasisi
12. Posho ziara za kimafunzo ughaibuni

NB: sifa za kuwa Mbunge zipo? Ni zipi?
Sifa kuu ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika kiswahili( hata kama hukuwahi kuingia darasa la kwanza) ingawa sifa ya kuwa dereva anayefaa kumwendesha mbunge ni form four na leseni ya udereva.
 
Back
Top Bottom