Maslahi ya Wabunge Tanzania yapoje?

Huwezi kunielewa mzee ikiwa ulishakariri kuwa wanalipwa mil 12. Hiyo 12 mil huwa inamchanganuo wake, nilikuwaga nafahamu kama wewe hivyo mtu mmoja mhusika wa mjengoni akanielewesha
Wadanganye wajinga, ndugu yangu ni mbunge unachosema ni uwongo. Baada ya kupitisha kiinua mgongo kwa wake wa marais nao wamejiongezea. You scratch my back I sratch yours. Ukinikuna nakukuna na kukupuliza.
 
Hawa wanakula nchi bila huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…