Masnitch wa Kenya vs Masnitch wa Tanzania

Masnitch wa Kenya vs Masnitch wa Tanzania

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Sasa hivi habari inayotrend ni kuzuiwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya wa zamani kukanyaga USA kisa corruption, kumbe habari nilizozipata ni kwamba Wakenya wenyewe ndo waliomsnitch huyo AG walifunga Safari kwenda kwa Donald Trump kushitaki na kutaka AG wao apigwe stop kuingia paradiso.

Hii inaonyesha masnitch wa Kenya wana nguvu sana kulinganisha na na masnitch wa Tanzania yetu, hata sisi snitches wanashinda huko kutaka Tanzania yetu idhalilishwe kama Kenya lakini wanashindwa kushawishi, kweli masnitch wa Kenya kiboko.
 
Tatizo madhambi na madudu yenu yote mnafanya kwa Kiswahili, hivyo inakua vigumu kwa ulimwengu kuwashtukia, kwa mfano zile trillions mlizozipiga akawaumbua CAG, mlifaulu kufunika maana issue yote imezungumzwa humo humo na kuishia huko, hata akina Lissu wakibweka huko nje hawaeleweki.
 
Tatizo madhambi na madudu yenu yote mnafanya kwa Kiswahili, hivyo inakua vigumu kwa ulimwengu kuwashtukia, kwa mfano zile trillions mlizozipiga akawaumbua CAG, mlifaulu kufunika maana issue yote imezungumzwa humo humo na kuishia huko, hata akina Lissu wakibweka huko nje hawaeleweki.


Lkn masnitch wa Kenya walipanda ndege kwenda USA kushitaki na wakakabidhi majina kwa Muzungu, utasikia wengine watafwata pia kupigwa stop kuingia USA.

Sasa hilo hata masnitch wa TZ hufanya pia huenda huko kwa Muzungu kushitaki lkn hawasikilizwi kama masnitch wa Kenya.
 
Lkn masnitch wa Kenya walipanda ndege kwenda USA kushitaki na wakakabidhi majina kwa Muzungu, utasikia wengine watafwata pia kupigwa stop kuingia USA.

Sasa hilo hata masnitch wa TZ hufanya pia huenda huko kwa Muzungu kushitaki lkn hawasikilizwi kama masnitch wa Kenya.
Hivi yule seneta anayetafutwa Marikani ameishia wapi?
 
Lkn masnitch wa Kenya walipanda ndege kwenda USA kushitaki na wakakabidhi majina kwa Muzungu, utasikia wengine watafwata pia kupigwa stop kuingia USA.

Sasa hilo hata masnitch wa TZ hufanya pia huenda huko kwa Muzungu kushitaki lkn hawasikilizwi kama masnitch wa Kenya.

La Wakenya kupanda ndege kwenda kushtaki sina habari nalo, labda utuwekee chanzo cha kusadikika, lakini ninachokijua ni kwamba hawa wenzetu hufuatilia sana matukio ya ndani ya kila nchi, kwa nyie huwa rahisi kuficha mafisadi wenu maana mnayafanya kwa lugha ya Kiswahili, ila sisi hata bungeni na vikao vyote huwa rahisi kufuatiliwa dunia yote kwa sababu ni English mwanzo mwisho.
Huko kwenu hata mkiifanya madudu mithili ya kupelekwa ICC, inazimwa kimya kimya.
 
Lkn masnitch wa Kenya walipanda ndege kwenda USA kushitaki na wakakabidhi majina kwa Muzungu, utasikia wengine watafwata pia kupigwa stop kuingia USA.

Sasa hilo hata masnitch wa TZ hufanya pia huenda huko kwa Muzungu kushitaki lkn hawasikilizwi kama masnitch wa Kenya.
Mpaka sasa wakenya 189 wamekutwa na rungu hilo.

Ni harakati za mugaigai baada ya kutoka course "charo" sasa mizuka imempanda bahati mbaya jua ndio linazama. But I bet he may be a next premier.
 
La Wakenya kupanda ndege kwenda kushtaki sina habari nalo, labda utuwekee chanzo cha kusadikika, lakini ninachokijua ni kwamba hawa wenzetu hufuatilia sana matukio ya ndani ya kila nchi, kwa nyie huwa rahisi kuficha mafisadi wenu maana mnayafanya kwa lugha ya Kiswahili, ila sisi hata bungeni na vikao vyote huwa rahisi kufuatiliwa dunia yote kwa sababu ni English mwanzo mwisho.
Huko kwenu hata mkiifanya madudu mithili ya kupelekwa ICC, inazimwa kimya kimya.
Jirani, kutangazia dunia kwa lugha pendwa tumewaachia nyie na media houses zenye. Naona Sasa mmeshaandika hadi mmechoka.

Mnatumika tu pasipo kujua, mbaya zaidi mnamtumikia beberu...bora mngekuwa mnatumika kwa ajili ya nchi yenu.
 
Jirani, kutangazia dunia kwa lugha pendwa tumewaachia nyie na media houses zenye. Naona Sasa mmeshaandika hadi mmechoka.

Mnatumika tu pasipo kujua, mbaya zaidi mnamtumikia beberu...bora mngekuwa mnatumika kwa ajili ya nchi yenu.

Vipi mbeberu bado anawanyonya gesi au mlishamzingua, maana nakumbuka mliahidi ndani ya siku mia moja ya gesi kutoka Mtwara mtakua mumetupita kiuchumi, sijui vipi huko Mtwara, je wamefaulu kuifaidi gesi inayotoka kwao, ila mbeberu ni mtu mbaya sana, yaani raslimali zenu zote amezinyonya tangu enzi za mababu zenu na hadi leo anawatafuna mumebaki mifupa na mahandaki tupu na bado mpo kwenye kundi la LDC, maskini wa kutupwa.
 
La Wakenya kupanda ndege kwenda kushtaki sina habari nalo, labda utuwekee chanzo cha kusadikika, lakini ninachokijua ni kwamba hawa wenzetu hufuatilia sana matukio ya ndani ya kila nchi, kwa nyie huwa rahisi kuficha mafisadi wenu maana mnayafanya kwa lugha ya Kiswahili, ila sisi hata bungeni na vikao vyote huwa rahisi kufuatiliwa dunia yote kwa sababu ni English mwanzo mwisho.
Huko kwenu hata mkiifanya madudu mithili ya kupelekwa ICC, inazimwa kimya kimya.


Walifanya tour USA na kukutana na secretary of state USA na kumpa majina ya watu wasiowapenda kama huyo AG wao, Mainstream media at Kenya zimesema hivyo.
 
Walifanya tour USA na kukutana na secretary of state USA na kumpa majina ya watu wasiowapenda kama huyo AG wao, Mainstream media at Kenya zimesema hivyo.
Weka link tujichambulie habari sisi wenyewe. Maanake huu uzi wako unaeneza dhana kwamba Kenya ni kama Tz ambapo wazalendo wanaofichua maovu huwa mnawaita masnitch. Kenya sio Magufulistan na watu kama hao huwa tunawaita 'whistleblowers' kama Julian Assange wa Wikileaks. Alafu kwenye enzi hizi za teknolojia mtu kusafiri kilomita nyingi ili akapeane tu habari ni umbumbumbu wa hali ya juu.
 
Walifanya tour USA na kukutana na secretary of state USA na kumpa majina ya watu wasiowapenda kama huyo AG wao, Mainstream media at Kenya zimesema hivyo.

Kwa manufaa ya jukwaa, naomba utupatie link au wapi ulipata habari kwamba Wakenya walipanda ndege kwenda kushtaki.
 
Vipi mbeberu bado anawanyonya gesi au mlishamzingua, maana nakumbuka mliahidi ndani ya siku mia moja ya gesi kutoka Mtwara mtakua mumetupita kiuchumi, sijui vipi huko Mtwara, je wamefaulu kuifaidi gesi inayotoka kwao, ila mbeberu ni mtu mbaya sana, yaani raslimali zenu zote amezinyonya tangu enzi za mababu zenu na hadi leo anawatafuna mumebaki mifupa na mahandaki tupu na bado mpo kwenye kundi la LDC, maskini wa kutupwa.
Gesi tunatumia viwandani sasa na inasambazwa majumbani kwa kupikia. Pia magari yanatumia gesi sasa. Kusema tutawapita au tumeshawapita ni swala mtambuka kidogo! Labda Ungeweka ulinganifu unaotaka ili tupime.

Ngoja tunaenda ku cut nusu ya importation ya mafuta baada ya gesi kukubalika sokoni. Umeme wa Nyerere HP na Zuzu power station Dodoma then uje tena hapa kupima kupitwa au ni denial.
 
IMG_20191121_111621.jpg
 
Gesi tunatumia viwandani sasa na inasambazwa majumbani kwa kupikia. Pia magari yanatumia gesi sasa. Kusema tutawapita au tumeshawapita ni swala mtambuka kidogo! Labda Ungeweka ulinganifu unaotaka ili tupime.

Ngoja tunaenda ku cut nusu ya importation ya mafuta baada ya gesi kukubalika sokoni. Umeme wa Nyerere HP na Zuzu power station Dodoma then uje tena hapa kupima kupitwa au ni denial.

Tatizo Watanzania wengi wanalalamika sana, hebu kawajibu kwenye hizi nyuzi
 
Tatizo Watanzania wengi wanalalamika sana, hebu kawajibu kwenye hizi nyuzi
Kulalamika ni hulka ya binadamu mkuu. Ila ukweli ndio huo..gesi inatumika Kama unabisha google can be your best friend...pitia angalia.

Mfano ruto na watu wake wanalalamika kuwa uhuru anawatenga! Kwani ni malalamiko ya kweli hayo? Ni hulka tu na siasa kawaida.
 
Kulalamika ni hulka ya binadamu mkuu. Ila ukweli ndio huo..gesi inatumika Kama unabisha google can be your best friend...pitia angalia.

Mfano ruto na watu wake wanalalamika kuwa uhuru anawatenga! Kwani ni malalamiko ya kweli hayo? Ni hulka tu na siasa kawaida.

Ruto analalamika kisiasa kwa mambo ya siasa, ila hao Watanzania wanalalamika kwa gesi yao kuliwa, nakumbuka hata rais wenu akilalamika kuhusu mabeberu, sasa wewe pekee yako ndiye hulalamiki.
 
Back
Top Bottom