mkono wa nyoka
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 334
- 54
Eti Tekno, hahaha hawa wanamuziki wa plastic bhana majina yao! Sasa Tekno ndio jina gani? Usishangae ukasikia mwingine anajiita samsung.
Tekno ni aina ya muziki mzee
Eti Tekno, hahaha hawa wanamuziki wa plastic bhana majina yao! Sasa Tekno ndio jina gani? Usishangae ukasikia mwingine anajiita samsung.
Wanapiga nje ndani.....kisha anapanda jukwaani na mic....Nahisi tigo kama voda na voda kama tigo.
hahaha mkuu umetisha...Pole Agy.
Hao vijana wakadiriwe kodi na waje walipe TRA, kumbafu zao.
Una maanisha nini?Nahisi tigo kama voda na voda kama tigo.
Namaanisha anatumia line 2.Una maanisha nini?