Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Sio kweli, vera kwa sasa hayupo natural, amejibadilisha kuanza rangi yake, butts, boobs zote ni plastic bana.
Corazon kwamboka ni mzuri zaidi ya vera sidika, vera sidika anaonekana mzuri baada ya kujibadili.
Sio kweli, vera kwa sasa hayupo natural, amejibadilisha kuanza rangi yake, butts, boobs zote ni plastic bana.
Corazon kwamboka ni mzuri zaidi ya vera sidika, vera sidika anaonekana mzuri baada ya kujibadili.
Binamu vera yuko so fake shape hailingani hata hips na upaja, hata ingawa kajichubua ila reception ni big no, though nampenda hata ongea yake Inaonyesha ana akili tofauti na mastar ushuzi wa kibongo hawana kitu kichwani, vera ana ka international exposureBinamu hapana,nilimuona vera juzi kwenye TV, ni mzuri sana Wa sura na shepu, tofauti na anavyoonekana kwenye picha za Instagram, vera ni kisu na anaonekana ana roho nzuri,yan yupo tofauti na anavyoonekana Instagram, nimemkubal sana,sijawah kumkubali vera ila toka nimuone juz duh vera kiboko yao
Vera anajitambua sio kina mama ubaya wanauza mipapa lakini maendeleo zero, wakiitwa interview wanaongea ujinga mtupu.Vera anakaa sehemu inaitwa kareni Nairobi, huko wanakaa watu wenye pesa zao ,ni kama masaki au oyster bay kwa huko kwetu, yule mwanamke ni shidaa,ana pesa na ana akili kichwani na anajielewa,nimesikiliza baadhi ya interview zake dah yupo tofauti na watu wanavyomsema vera, yan nimetokea kumkubali sana
Kweli kabisa.Vera anajitambua sio kina mama ubaya wanauza mipapa lakini maendeleo zero, wakiitwa interview wanaongea ujinga mtupu.
Hahahahahaahhahhahaaaa...........
Point zinto sana umeizungumza hapo........watoto wa kike hapo ndio wanapopotea.......kuringia uzuri wa maumbo huku sehenu zao za siri zikitumika........hakuna mwanaume ambaye atachukua hayo makalio au shepu akaiweka ndani akiakiamini ameweka mke ndani......kwa wanaume hiyo ni sababu ya kuumia moyo maana anajua tu kuchapiwa ni almost 100% predictable plus kulingiwa na kuletengewa ngebe za madharau mara tu mwenye dau kubwa sokoni akiweka order........sasa katika hali hiyo hawa wanawake wanaoringia shepu na uzuri wa mwili huwa tunawatumia tu ujana huu tukianza majukumu ya familia tunatupa huko wakazeeke ohio..........uzuri sometimes kama ni mkosi vile maana ukiwa unawaniwa unashindwa kujua nani ni anayekutaka kweli kwa mapenzi ya dhati na ni nani ambaye anataka achezee tu huo mwili hadi unyauke kisha akuteme..........money is the bitch though......Hivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?
Tupo....sie tushazoea kusifiwa huku vichochoroni kwetunbona girls siwaoni kwenye nyuzi hii
Asante mkuu, nilichotaka kukiandika nimekikuta mwanzo kabisaCorozan ndo top
Vera Sidika's ass is not original...is enhanced just like her breasts and skin colour. Masogange's ass is 100% originalvera sidika ni mkali zaid ya masogange mara bilion mbili
Kakaako tatizo churaaa [emoji196] ndo habariHivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?
Ngoja nami nimsubri huyo Vera nimuone
Corozan ndo top
COROZAN NOUMAAAA!
Vera ana sura nzito Mungu nisamehe na shape lake limezidi had linapoteza uhalia anakuwa ka wakuçhonga.
Wafanyabiashara hao...achana naoHivi shepu nzuri ni kuwa na matako makubwa tepetepe? Na kufanyiwa kabisa mashindano? Utu wa mwanamke uko wapi hapa?staha zake kama binadamu tinaziweka wapi?
Kwanini wanawake wenyewe baadhi yao wanakuwa ndio kichokoo cha haya yote?