Tupia tupicha twake mkuu
yule labda wampe hakimu mwanamke lakini kwa mwanaume yoyote dhambi kubwa mno kuacha mtoto mzuri kama yule apate shida
Umesikia Aggy ni wa nani kwani?!Usiwe mwoga.Mi nikishasikia mwanamke ni wa mwingine hamu huniisha sijui wengine mnapata wapi hamu ya kumhangaikia
Haswa lile eneo analoringishiaTupia tupicha twake mkuu
Nasikia kuna gharama za watu huko MakongoUmesikia Aggy ni wa nani kwani?!Usiwe mwoga.
juhaKula ale Madereva kuhustle uhustle wewe? Huu nao ni upimbi wa kiwango cha lami... Eti kesi yake wakupe wewe...πππ
[emoji115] uchochezi huoMakonda anahangaika na wanawake kibao lakini hajawahi kumpa mimba mkewe wala kusingiziwa mimba huko nje.
Hii ni laana na pigo kubwa kwako.
Jitafakari.
Uniangalie mimi mkeo? Mwambie mkeo ageuke umuangalieBasi nikuangalie wewe mubashara