Africa imejaa rushwa ya kufa mtu, yaani huyu muuza madawa naye anatamba? Najua jk alienda kuongea na zuma ili suala liishe. Pia ajue huyu mdada ---- akirudi bongo watamuua kwani anasiri nzito za yale madawa, wamemficha huko wala siyo maisha mazuri bali yupo kifungoni.
Usipende kuropoka yule no baby wanguahahah, wewe ndo yule andunje evans komu au nani?? ulie tu mwenzio anachimbwa na wasouth, wewe ulie tu
Umaarufu wa huyu mrembo ni "ahsante takko" lisingekuwepo sijui angepost nini IG
Yaan siku akiamka hana hilo tako atakufa kwa pressure nyau huyu maana kila siku yy picha ni ya tako tu
mashabik wake wa msambinungwa
mmh mnyakyusa kwani??