Masoko ya bidhaa za kilimo na ufugaji

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Naona wajasiriamali wengi tunajitahidi kufuga na kulimalakini taarifa hasa za masoko..wapi ambapo mjasiriamali apeleke mzigo wake kwa wingi haziko clear....mfano mtu kafuga kuku wake wa nyama 4000 wakiwa tayari awapeleke wapi achukue hela yake kwa uhakika? Naona kilichopo watu wanaambiana tu nenda kule au nenda kule.

Taarifa sahihi hata za wanunuzi haziko clear utasikia Bakhresa ananunua mahindi..ukifatilia kujua hupati taarifa za uhakika
au sijui Tanga fresh wananunua maziwa lakini taarifa haiko clear.

Sasa ningependa kwenye thread hii tuambiane wapi na wapi wananunua bidhaa za kilimo kwa wingi
nimewahi sikia kuna wachina wananunua ufuta ...kwa wingi but siji hao wachina unawatafutia wapi

Mara sijui maembe Azam wananunua....ili mradi hakuna anaejua for sure sasa mwenye taarifa za wanunuzi wa bidhaa kwa jumla kwa wingi hasa za kulimo na ugugaji na adress za wanunuzi....tu share humu basi.....
 
The Boss

Ni hivi mie pia sijui habar za masoko lakin kwa mfano hapa nachingwea wanalima ufuta wachina wanasafir kabisa kuja hapahapa wanakuwepo kwenye maghala ya mazao wanakuwa wananunua ufuta wa wakulima pia mbaazi nazo ni vile vile walikuja wakenya wakanunua mbaazi kwa bei nzuri sana ndo hivyo mdau so sehemu panakopatikana sana mazao ndo masoko huwa ya kwel sanaaaaa
 
Last edited by a moderator:

Tutajie majina kampuni hizi za wachina na wakenya
na simu zao ili tuwaulize
usikute wananunua mazao mengi tu mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…