kwa taarifa tu,wadau wanasema mwaka huu masomo ya physics,english,mathematics ndio yaliofelisha zaid yakifuatiwa na accounts!na pia kwa wale wa geography katika paper 1 kama umejibu maswali ya salinity in the ocean,soil conservation na graciation bac umekwenda na maji,coz karibia 90% nchi nzima wamejibu hayo maswali,wanaamini ni dalili ya paper kuvuja na kama swali la glaciation hukuchora imekula kwako!last matokeo yanaweza yakatoka kwa mfumo wa no kama yale ya 4m4!
Nchi ya tetesi. Mishahara tetesi, tume ya Pinda tetesi, grade za F5 tetesi. Hao ndio dotcom bwana hawataki kuumiza kichwa kusubiri mpaka tarehe 2 Mei matokeo yatakapotangazwa