Venant Ben
Senior Member
- Nov 29, 2010
- 155
- 10
kwa taarifa tu,wadau wanasema mwaka huu masomo ya physics,english,mathematics ndio yaliofelisha zaid yakifuatiwa na accounts!na pia kwa wale wa geography katika paper 1 kama umejibu maswali ya salinity in the ocean,soil conservation na graciation bac umekwenda na maji,coz karibia 90% nchi nzima wamejibu hayo maswali,wanaamini ni dalili ya paper kuvuja na kama swali la glaciation hukuchora imekula kwako!last matokeo yanaweza yakatoka kwa mfumo wa no kama yale ya 4m4!
n.b:ni tetesi!
n.b:ni tetesi!