Kwa anaye fahamu masonya secondari ipo wapi mkoa na kama kuna mtu ana mawasiliano au au nae ndugu ake kachaguliwa huko plzzzz tarfa yoyote kuhusu masonya secondary
Ipo mkoa wa Ruvuma wilaya ya Tunduru ndani ya pori la selou, ni shule ya wanawake, kwa kidato cha tano ndo inaanza ina combination moja tu HGK, nilienda mwezi wa 7 kumpeleka mdogo wangu alichaguliwa uko, iko porin sana ni km 18 from Tunduru mjini
Ipo mkoa wa Ruvuma wilaya ya Tunduru ndani ya pori la selou, ni shule ya wanawake, kwa kidato cha tano ndo inaanza ina combination moja tu HGK, nilienda mwezi wa 7 kumpeleka mdogo wangu alichaguliwa uko, iko porin sana ni km 18 from Tunduru mjini